Rudi tena darasani Mkuu halafu kajifunze upya maana na dhana nzima ya kitu kiitwacho ' <b>Labelling Theory</b> ' kisha utaelewa ni kwanini sasa hivi kila kitu kibaya Bashite wako huyo anahusishwa nacho. Matendo yake ya awali ambayo mengi ni ya ' Kipuuzi ' ndiyo yana justify yeye kuwa labelled...
Hapo ndo utagundua kuanzia mtu wa kwanza kuumbwa ambaye aliponzwa na mwanamke hadi wewe mwanamke uliyedanganywa na nyoka wote hamna akili.....eti unawaonea aibu wanaoweza kusikia sauti tu badala ya kumuonea aibu huyo anayetolea macho namna gan!!!!!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.