Recent content by thns John

  1. thns John

    JamiiForums Tanzania Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    1)Time isio na uitikadi ya watalaam waliomba na kutanyiwa interview . 2)Selikali za mitaa wawe wapiga kura na sio wasimamizi wala waratibu wa zoezi LA kura yoyote ya maoni. 3)Matokeo ya kila kituo yabandikwe eneo husika . 4)Vyombo vya dola vibaki walinzi wa usalama na wasiwe na mamlaka ya kuamua...
  2. thns John

    JamiiForums Tanzania Katiba Mpya haitakuja kwa Maneno Matupu

    Walamba asali ndio kikwazo cha upatikanaji wa katiba mpya has a rasmu ya pili ya maji Warioba sio rafiki kwao wachache walamba asali. Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
  3. thns John

    JamiiForums Tanzania Kwanini isichukuliwe ile Rasimu ya Katiba Mpya ya Jaji Warioba?

    Uko vizuri mtoa maoni. Niongeze kidogo wanasiasa wasihodhi mchakato .Rasmu ya pili pendekezwa ya katiba mpya ya jaji warioba inatosha kuidhinishwa iwe ndio katiba ya Jamhuti ya Tanzania Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
  4. thns John

    JamiiForums Tanzania Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    Muundo wa Selikali 3. 1.Selikali yaJamhuri ya Tanganyika. 2.Selikali ya Jamhuri ya watu wazanzibar 3.Selikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania. NB:- (1-2) Ndizo zibaki kuwa na lasli Mali watu,Jeshi,polisi,Takukuru,Vikosi vya uokoaji,Jeshi la majini na nchi kavu na angaa. Uidhinishwaji nchi...
  5. thns John

    JamiiForums Tanzania Rasimu ya II ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Maoni:- Mchakato huo udhingatie 1)Msingi mkuu wa mchakato watohowe mengi kutoka Rasmi ya pili ya Jaji Warioba. 2)Mchakato usibakwe/kuhodhiwa na wanasiasa ingawa nao kwa uchache washiriki walau mtu mmoja kutoka kila chama cha siasa. 3)Mchakato wa katiba mpya uhusishe wanasheria wabobezi wa...
  6. thns John

    JamiiForums Tanzania Utunzaji wa miundombinu (barabara, madaraja n.k)

    Ndg Watanzania, Poleni kwa kwa ukosefu wa mvua kunakotishia ukame mkali na njaa kali kama ile ya¹980 kipindi ya ungaa wa (yang"ofe) nikisema hivyo wenzangu wa mkoa wa Kagera mtakumbuka vizuri pengine na maeneo mengine pia. Ndg Watanzania miundombinu iliyo jengwa, inayoendelea kujengwa...
  7. thns John

    JamiiForums Tanzania Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Vodacom ni mtandao muhimu sana kanda ya ziwa. Ziko kasoro MF:- Vifurushi kuwa ghali sana makato ya huduma za M Pesa na vifurushi vya data gharama juu data kidogo.Lekebisheni vutia toa huduma ya rafiki kwa mteja wengi wamebaki na huduma za kupiga na kupokea simu tu.
  8. thns John

    JamiiForums Tanzania CWT chama cha matumizi kuliko uwekezaji

    Viongozi mmeona comments za wanachama wenu? Zifanyieni kazi nasi.
  9. thns John

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tanesco mna Fanya kazi vizuri sana lakini Lini mtatufikia wengine kwa kutupa huduma ya nishati ya umeme? Niko igombe "B" ni kweli ukiingia ktk mifumo yanu eneo hili Lima umeme tena kwa kiwango kile rafiki cha tsh 27,000/- lakini eneo hili mnalifahamu vizuri? Kuna eneo kubwa tu hatujafikiwa na...
Back
Top Bottom