Recent content by ThisisDenis

  1. ThisisDenis

    Wakati hauna mahusiano wala ndoa, hakuna mwanamke anae sogea karibu yako

    Wakati hauna mahusiano wala ndoa, hakuna mwanamke anae sogea karibu yako, lakini baada ya ndoa wanakuja wengi tena ambao huitaji kutumia nguvu nyingi kuwapata.
  2. ThisisDenis

    Sifa ya Mgombea wa kiti cha Urais

    Nini sifa za mgombea kiti cha uraisi nchini kwangu.
  3. ThisisDenis

    Mfanyakazi ni nani?

    utapata.
  4. ThisisDenis

    Huwezi kua baba wa familia halafu watoto na wake zako wanakupanda kichwani

    Itapiga hatua hata kama mkikaza vichwa.
  5. ThisisDenis

    Huwezi kua baba wa familia halafu watoto na wake zako wanakupanda kichwani

    Huwezi kuelewa kwa sasa ila mbeleni utaelewa tu.
  6. ThisisDenis

    Huwezi kua baba wa familia halafu watoto na wake zako wanakupanda kichwani

    Wakati unamchagua Raisi Magufuli hukumuona pembeni yake kenye picha kama mgombea mwenza ?
  7. ThisisDenis

    Huwezi kua baba wa familia halafu watoto na wake zako wanakupanda kichwani

    Iko hivi kila mzazi na mlezi hajawahi kuwaombea vibaya anao waleo. Ukiona imefika kipindi kila mmoja kwenye famila yako, ina maana wale wote unaowalisha wanakupanda kichwani jua kuna mtu nje ya nyumba yako anawapa jeuri. Siasa ya Tanzania sio ngeni machoni mwa watanzania wote walio barehe na...
  8. ThisisDenis

    Mfanyakazi ni nani?

    Mfanya kazi ni nani ? Au ni mtu yoyote mwenye cheque number ?
  9. ThisisDenis

    Kwanini busara isitumike kuweka sawa hali hii?

    Hapana, hizo hua ni hasira na malipizi kitu ambacho sio kizuri
  10. ThisisDenis

    Kwanini busara isitumike kuweka sawa hali hii?

    Ha Haya mambo si madogo kabisa
  11. ThisisDenis

    Kwanini busara isitumike kuweka sawa hali hii?

    1. Tunachangamoto ya kibiashara baina yetu na malawi, inashindikana vipi kuweka hali hiyo sawa ? Sio busara kabisa kukomoana ili hali wanaoumia ni wenye mazao na maskini. 2. Kesi za mahakamani zinazoendelea kama mahakama ni chombo huru kwa nini kinaingiliwa na vyombo vingine ? 3. Bunge sasa...
  12. ThisisDenis

    PSSF

    PSSSF ni nyi ni jipu, kwa nini mnashindwa kufuatilia kampuni ambazo haziweki mafao ya hiadhi za kijamii kwa watumishi, shida inakua nini au lengo lenu ni kuwadhutumu watumishi😡😡😡🤬🤬🤬 mnakera sana ninyi ndio mnategemewa kwa nini msioneshe msaada ?
  13. ThisisDenis

    Hivi PSSSF kwa nini usimamizi wenu unalega lega ?

    Inakuaje unafanya kazi na kila mwezi unapokea pesa na makato yako ya hifadhi hayawekwi ? PSSSF shida ni nini ?
Back
Top Bottom