Wakati hauna mahusiano wala ndoa, hakuna mwanamke anae sogea karibu yako, lakini baada ya ndoa wanakuja wengi tena ambao huitaji kutumia nguvu nyingi kuwapata.
Iko hivi kila mzazi na mlezi hajawahi kuwaombea vibaya anao waleo. Ukiona imefika kipindi kila mmoja kwenye famila yako, ina maana wale wote unaowalisha wanakupanda kichwani jua kuna mtu nje ya nyumba yako anawapa jeuri.
Siasa ya Tanzania sio ngeni machoni mwa watanzania wote walio barehe na...
1. Tunachangamoto ya kibiashara baina yetu na malawi, inashindikana vipi kuweka hali hiyo sawa ? Sio busara kabisa kukomoana ili hali wanaoumia ni wenye mazao na maskini.
2. Kesi za mahakamani zinazoendelea kama mahakama ni chombo huru kwa nini kinaingiliwa na vyombo vingine ?
3. Bunge sasa...
PSSSF ni nyi ni jipu, kwa nini mnashindwa kufuatilia kampuni ambazo haziweki mafao ya hiadhi za kijamii kwa watumishi, shida inakua nini au lengo lenu ni kuwadhutumu watumishi😡😡😡🤬🤬🤬 mnakera sana ninyi ndio mnategemewa kwa nini msioneshe msaada ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.