sijua watu wa sisi em mnapata wapi kiburi cha kusema maji mmeyaleta nyie!!! kiukweli maji yanayotumiwa na watu wa ukonga kwa aslimia 85 yanspatikana kwa watu binafsi waliochimba visima vyao hakuna mkono wa rais mbuge wala diwani.......sasa wewe unaye unganisha maji la chama chako hauna hata...
hii ni kweli kabisa mkuu,sasa kuna diwani mwingine wa jimbo hilo kata ya kipawa yaani nivichekesho tangia apate udiwani nadhani aliamia kijijini kwao anatokea kwenye kata yake kuchukua posho za vikao
Kila jamambo na wakati wake jamani ulikuwa na 5 per nit sasa ivi tatu ...... natabiri kadili siku zinavyozidi kwenda mbele utajikuta una uwezo wa 0.5 per nit.shukuru Mungu ulianza ukiwa juu yaani tano wnzio wanaanza hata hiyo 1 inakuwaga issue.
Alafu tano za kuku ama? kama ni za kuku mwambie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.