Recent content by This is...

  1. This is...

    PostGE2025 Kuelekea D9 kuna sintofahamu inaendelea Tanganyika

    Kila siku si mnalipana na kuiba rasilimali za nchi.
  2. This is...

    Viongozi wa dini hasa wa kiislam hii inawahusu

    Dini yangu ni bora hata zaidi kwangu kuliko hata roho yangu mwenyewe. Nb: Haya ndiyo mafundisho ya madrasa?
  3. This is...

    Viongozi wa dini hasa wa kiislam hii inawahusu

    Tafadhali sikilizeni hii. Na huu ndio uhalisia wa maisha mtaani Tanzania yote. Nb: Viongozi wa Kiislam jitafakarini sana. Kama ni bahasha na uchawa basi mnajidhalilisha.
  4. This is...

    1/12/2025 - Unpredictable day

    Mmeanza kutoa bahasha kwa hawa jamaa wenye elimu ya madrasa wasio na elimu ya kuchanganyia kuingiza udini.LITAFELI Sasa hivi mmekuja na la watu kupewa hela. Ujinga..LITAFELI PIA NB: Mnajitoa fahamu kwamba waandamanaji hawana madai youote. Huu ni utoto!!
  5. This is...

    They do not care at all

    Sisi wa Madrasa ni ndugu, mahali popote uislam kwanza
  6. This is...

    PostGE2025 Dotto Biteko atemwa rasmi na Rais Samia

    WANU HAFIDHI AMEIR (siyo Wangu)
  7. This is...

    PostGE2025 Dotto Biteko atemwa rasmi na Rais Samia

    Kwani Hajui kusoma na kuandika Kiswahili AU kiinger3za?
  8. This is...

    Nimesoma bandiko la mwandishi wa habari Twitter kwamba kuna watanzania wameanza kupewa silaha na Kagame

    Unaongea kama mtu aliyepigwa stroke ya upande wa kushoto. Hahahaaaaa Watz wengine bhana kenge kweli!
  9. This is...

    Nimesoma bandiko la mwandishi wa habari Twitter kwamba kuna watanzania wameanza kupewa silaha na Kagame

    Octoba 29 1.hakutakuwa na nywinywi wala nywinywinywi.....Samia 2.Octoba 29 hakuna mende atakaye salia kabatini tutawatoa wote wakapige kura......mkwe wa Rais bw. nchengerwa ( ila mende kweli walitoka kivingine) Nb: Watanzania ni waoga na mazuzu hayawezi kuandamana.
  10. This is...

    Mnaotaka kuandamana naomba mniambie

    itakusaidia kujitambua japo kidogo.
  11. This is...

    PostGE2025 Siku 100 za Rais Samia Suluhu Hassan

    Amani bila Haki. HADAA!! UNAUA WEWE HALAFU UNAJICHUZA MWENYEWE...HADAA!!
  12. This is...

    Hatuwezi kufanya maridhiano nao tarehe 9 nchi itasimama kwa maandamano

    Samia anadhani anaweza kuendelea kuwahadaa watanzania. Anauwa yeye, halafu Anataka ajichunguze mwenyewe. SAMIA UMECHELEWA!
  13. This is...

    Hatudanganyiki ng’o!!

    Chura kiziwi anaishi kwa mazoea na dharau. Ilikuwa hotuba ya hadaa. Akili za Kikwete hizo.
  14. This is...

    PostGE2025 Uteuzi wa Dkt Mwigulu Nchemba Kuwa Waziri Mkuu Wawafurahisha na Kuwakosha Watanzania

    Hakuna chawa anakaa mahali pasafi. Makazi ya chawa ni uchafu. Utahangaika mpaka utazeeka ukijipendekeza na kujitoa fahamu bila faida yyte.
  15. This is...

    PostGE2025 Zitto Kabwe: Ni Wakati Wetu wa Tiananmen, Kilio cha Tanzania cha Haki Katikati ya Mauaji ya Oktoba

    Huyu anazungumza maridhiano.Huyu ni kahaba wa kisiasa.anatumika kadiri ya anayemhitaji. Aendelee kulinda kura zake.
Back
Top Bottom