Recent content by This is...

  1. This is...

    P. Diddy kumbe ni mchafu na muovu zaidi ya shetani!

    Kwani hana trako!
  2. This is...

    Rais Samia atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Kassim Seif Ndumbo

    Mwanangu Kasim km uko humj unakumbuka kwenye mti wa mdegree chuo x pale Moshi! Pole sana pengine umepigwq zengwe tu.
  3. This is...

    Amos Makalla Mwenezi mpya CCM Taifa, Ally Hapi Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi

    Makonda aliwazingua wakuu wa mikoa sana,akiwemo Makalla pale Mwanza.Sasa ni zamu ya Makalla kwenda Arusha kukijenga chama.
  4. This is...

    Wanaoshinda kwenye computer/laptop na wanapata pesa huwa wanafanya kazi gani huko?

    Na utapeli pia ni.mwingi. kwa mfano hizi forex tena nyingi ni za wakenya.Kuna matapeli wa kuuza odds pia
  5. This is...

    THE MODERN WAR: Simulizi ya kijasusi mapenzi na upelelezi

    Mimi nasoma riwaya ambazo naona zina page angalao 1000 na kuendelea . Nawasubiria mpigwe alosto halafu mm naja natiririka tu. Sitaki ujinga kbisa.
  6. This is...

    Kama tumekubaliana kuwa wamoja kimataifa, sasa kwanini tumeanza kurogana wenyewe kwa wenyewe?

    Hata hapa hujui ulichokoment, ni mihemko, kukurupuka plus ujinga.
  7. This is...

    Mokwena: Tunaiheshimu Yanga. Kwa watu waelewa hii kauli ni mbaya

    Simba vs Al Ahly Hii ni dabi ya Afrika. Hakuna mhemko na kelele nyingi.
  8. This is...

    Mechi ya Dar Young Africans vs Mamelodi Sundowns yapewa heshima ya siku ya Mudathir aka Muda Day

    Tatizo mkishahemka humu huwa mnatelekeza post zenu. Utadhani mpira unachezwa humu Jf.
  9. This is...

    Uchambuzi: Yanga wamefungwa kimakusudi Ili kuwazubaisha mamelodi na simba

    Mziki ulikua mzito Uto mkapoteana. Gamondi hana akili fupi km zako.
  10. This is...

    Hivi ushindi wa Azam jana hauathiri harakati za Simba kugombea nafasi ya pili?

    Hizi ni dalili kwamba hujui hata hesabu rahisi za kutoa na kujumlisha.
  11. This is...

    Hivi ushindi wa Azam jana hauathiri harakati za Simba kugombea nafasi ya pili?

    Hujui hata kutoa na kujumlisha. Shuleni mlienda kusoma ujinga.
  12. This is...

    Uchambuzi: Yanga wamefungwa kimakusudi Ili kuwazubaisha mamelodi na simba

    Weka ya yanga msimu huu. Kosoa au beza halafu onyesha ulicho nacho wewe.
  13. This is...

    Uchambuzi: Yanga wamefungwa kimakusudi Ili kuwazubaisha mamelodi na simba

    Potezeni na inayofuata ili mpango utimie Sundown wapoteane. HII NCHI INA MAJUHA WENGI SANA. HATA UKIYAUA HUWA YANAZALIWA KILA SIKU.
Back
Top Bottom