Recent content by This is...

  1. This is...

    JamiiForums Tanzania Mudathir jitafakari bro, umekua slow sana hii ni Yanga

    Tatizo umeenda na akili za kucheza na Jkt. Huko kunaotwa klabu bingwa ya Afrika. Yanga mnajidanganya sana!
  2. This is...

    JamiiForums Tanzania Wachezaji wa kuisaidia Yanga kimataifa humu hakuna

    Huna timu ya kucheza hata robo fainali. Una timu ya kuwasumbua JKT. Wachezaji wote Yanga,Simba,Azam ,Singida BS ni wa viwango vya kati. Hakuna ubora wa kucheza nusu au fainali. Simba amecheza hizo robo sababu ya jina alilolitengeneza,ndio maana hasogei ziadi ya hapo sababu hana quality ya nusu...
  3. This is...

    JamiiForums Tanzania Yanga tusiingie kwenye mtego wa Simba. Selemani Mwalimu walikuwa wanamkarisha hadi dk za mwishoni. Sisi tunamweka bench?

    Alitoroka kambini kwa timu ambayo ilishamtambulisha kwa mfumo wa Fifa. Atacheza kwa macho hadi mkopo wake uishe msimu huu wa 2026/27 Simba wameshikilia hapo hapo. Yanga walikurupuka. Yanga wanafanya mambo kwa kukomoa. Yanga ina washambuliaji 5 uliona wapi tangu dunia imeumbwa. Mchezaji...
  4. This is...

    JamiiForums Tanzania Ni uzuni Hull City waitandika Manchester United 2-0

    Hapana MALIMAO FC
  5. This is...

    JamiiForums Tanzania Kwanini asijiuzulu Leo badala ya tarehe 4 Septemba? Anataka kumalizia kazi gani aliyoisahau na anadhani watampa nafasi aikamilishe?

    Barua ya Nchimbi umeiso vizuri? Naona unaandika hisia zako hapo badala ya kilichopo kwenye barua.Unakinzana.
  6. This is...

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ndani ya masaa 48 Dr. Nchimbi Kung'atuka umakamu wa Rais kwa kujiuzulu

    Na sasa unasemaje.mbona hamrudi kuendelea na ujuaji.
  7. This is...

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Baadhi tupunguze "Ujuaji" Usio na "Tija"

    Huna akili!! Huna kabisa!
  8. This is...

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kuelekea D9 kuna sintofahamu inaendelea Tanganyika

    Kila siku si mnalipana na kuiba rasilimali za nchi.
  9. This is...

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa dini hasa wa kiislam hii inawahusu

    Dini yangu ni bora hata zaidi kwangu kuliko hata roho yangu mwenyewe. Nb: Haya ndiyo mafundisho ya madrasa?
  10. This is...

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa dini hasa wa kiislam hii inawahusu

    Tafadhali sikilizeni hii. Na huu ndio uhalisia wa maisha mtaani Tanzania yote. Nb: Viongozi wa Kiislam jitafakarini sana. Kama ni bahasha na uchawa basi mnajidhalilisha.
  11. This is...

    JamiiForums Tanzania 1/12/2025 - Unpredictable day

    Mmeanza kutoa bahasha kwa hawa jamaa wenye elimu ya madrasa wasio na elimu ya kuchanganyia kuingiza udini.LITAFELI Sasa hivi mmekuja na la watu kupewa hela. Ujinga..LITAFELI PIA NB: Mnajitoa fahamu kwamba waandamanaji hawana madai youote. Huu ni utoto!!
  12. This is...

    JamiiForums Tanzania They do not care at all

    Sisi wa Madrasa ni ndugu, mahali popote uislam kwanza
  13. This is...

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dotto Biteko atemwa rasmi na Rais Samia

    WANU HAFIDHI AMEIR (siyo Wangu)
  14. This is...

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dotto Biteko atemwa rasmi na Rais Samia

    Kwani Hajui kusoma na kuandika Kiswahili AU kiinger3za?
Back
Top Bottom