Tafadhali sikilizeni hii.
Na huu ndio uhalisia wa maisha mtaani Tanzania yote.
Nb: Viongozi wa Kiislam jitafakarini sana.
Kama ni bahasha na uchawa basi mnajidhalilisha.
Mmeanza kutoa bahasha kwa hawa jamaa wenye elimu ya madrasa wasio na elimu ya kuchanganyia kuingiza udini.LITAFELI
Sasa hivi mmekuja na la watu kupewa hela. Ujinga..LITAFELI PIA
NB: Mnajitoa fahamu kwamba waandamanaji hawana madai youote. Huu ni utoto!!
Octoba 29
1.hakutakuwa na nywinywi wala nywinywinywi.....Samia
2.Octoba 29 hakuna mende atakaye salia kabatini tutawatoa wote wakapige kura......mkwe wa Rais bw. nchengerwa ( ila mende kweli walitoka kivingine)
Nb: Watanzania ni waoga na mazuzu hayawezi kuandamana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.