asante kwamaada nzuri kiongozi.
kuhusu karma nadhani utakua umepewa tafsiri isio sahihi na mwalimu wako au mtandao ulio jifunza.
karma is real nainafanya kazi kwakila mtu.
asante kwamaada yako namimi nachangia hivi..
unacho kiona chakazi gani chamfaa mwezako, hivo kila mtu aheshimu cha mwingine.
ni aibu kubwa mtu mzima na madevu yake, mmama mzima na miziwa yake kuona hadithi alio ikariri yeye
nibora na inachekesha zaidi kuliko ya mwenzake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.