Ukiona msomi anashabikia CCM, kuna uwezekano wa vitu viwili, either Ubongo wake umeganda na hawezi kufikiri na kuchanganua mambo au yuko kuji-position kwa ajili ya maslahi yake zaidi, badala ya maslahi ya Taifa.Na ukiona msomi wa kizazi hiki anasimamia maslahi yake, badala ya Taifa ambalo...