Recent content by Thifor

  1. T

    Natafuta msichana wa kuoa

    Nimekua nikipata wasichana walaghai mara zote,hali ambayo ilinifanya kuwachukia wote. Ila sas nataka msichana ambae anadhamira kama yangu aache namba yake ya simu nami yakutafuteni,sichagui chochote ili mradi uwe una sura ya mvuto tu
  2. T

    Natafuta kazi ya kufundisha

    Mie ni mwalimu niliehitimu cheti kwa ajili ya shule za msingi,nafundisha masomo yote.pia nursery school nafundisha pia; nipo dar.mawasiliano ni 0716214072
  3. T

    Natafuta Laptop hp

    Mwenye laptop mtumba ya hp ambayo ni nzima tuwasiliane kwa 0716214072
  4. T

    Laptop hp

    Nahitaji laptop mtumba ya hp nzima,,kama unayo tuwasiliane kwa 0716214072
  5. T

    kufundisha

    Nina certificate ya Ualimu,nina utalaamu wa kumfundisha mtu akaelewa balabala. Mkoa wowote nafundisha mawasiliano 0762779059
  6. T

    Natafuta kazi ya kufundisha

    Mie ni certificate ya ualimu,natafuta kazi ya kufundisha shule za primary aina zote. Pia nafundisha masomo ya biology,chemistry,geograph kwa form I-II Mkoa wowote naweza kuja; mawasiliano 0762779059
  7. T

    Natafuta kazi

    Ni mwalimu mwenye uwezo wa kufundisha primary and medium school; Kama unakazi hiyo ama taarifa yoyote ya uhitaji wa kazi hiyo nijulishe kwa 0762779059
  8. T

    Natafuta mwanamke mwenye mapenzi ya kweli

    Habari zenu ndugu, Mimi nahitaji mwanamke mwenye sifa hizi; -Awe mkweli -Rangi yoyote -Kabila lolote -Uchumi wowote -Maziwa madogo -dini yoyote -Sura yenye mvuto _Umri 20-25 _Asiyemgumba/mgumba _Asiye na elimu/mwenye elimu yoyote Nitafute kwa 0716214072
  9. T

    Nahitaji mwanaume wa kunioa, awe na nia ya dhati na mapenzi ya kweli

    Nimekuelewa vizur xana dada,lakin sura ni muhimu kutambuana sote,najua sio rahis kuitia ndan.Tuwasiliane bas kwa 0716214072
  10. T

    Nahitaji mwanaume,umri 30-36

    Jambo jema dada,sasa cfaham kama takufaa mie maana bado cjajenga hata kbanda,bado nasoma;kama inawezekana bas nambie
  11. T

    Natafuta mwanamume

    Me nakuhitaj but nimekoxa sifa moja 2 ya umri,kwan nina 28.je itawezekana?
  12. T

    Kuachwa na mpenzi

    Jaman naomba ushauri, kila mwanamke/msichana nae mpenda tunaachana bila yakufikia lengo. Kuachana huko kunakua hakuna sababu maalumu. Nilitokea kumpenda msichana mmoja lakin nae akasema tuachane bila sababu, sijui ni kwanin!
  13. T

    Natafuta simu ya Nokia, nina TZS 80,000/=

    Natafuta simu ya nokia yenye wasap+instragram isiyozid elfu 80,kama unayo nijuze
  14. T

    Duka la simu used za HP and DELL

    nauza simu uzed
Back
Top Bottom