Nimekua nikipata wasichana walaghai mara zote,hali ambayo ilinifanya kuwachukia wote. Ila sas nataka msichana ambae anadhamira kama yangu aache namba yake ya simu nami yakutafuteni,sichagui chochote ili mradi uwe una sura ya mvuto tu
Mie ni mwalimu niliehitimu cheti kwa ajili ya shule za msingi,nafundisha masomo yote.pia nursery school nafundisha pia; nipo dar.mawasiliano ni 0716214072
Mie ni certificate ya ualimu,natafuta kazi ya kufundisha shule za primary aina zote.
Pia nafundisha masomo ya biology,chemistry,geograph kwa form I-II
Mkoa wowote naweza kuja;
mawasiliano 0762779059
Jaman naomba ushauri, kila mwanamke/msichana nae mpenda tunaachana bila yakufikia lengo. Kuachana huko kunakua hakuna sababu maalumu. Nilitokea kumpenda msichana mmoja lakin nae akasema tuachane bila sababu, sijui ni kwanin!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.