Pamoja na sifa zote hizo,sijawahi kuona hospitali isiyoheshimu maadili ya tiba kama Burere.Zablon has never bn in any medical school.Lakini anaingia theater na kushona wagonjwa.Hii hospitali tukiamua kuwa serious, ni ya kufunga.
Ni kweli ni hotuba zilezile.Lakini inawezekana kwa hao anaokuwa anaongea nao kwao ni mpya.Lakini pia nafikiri serikali yoyote hupenda kuwakumbusha wananchi kila mara yale ambayo inahisi ni mafanikio yake.
Nafikiri tujifunze kukubali kuwa kila mtu ana mtizamo wake.Diamond katoa mtizamo wake.Inawezekana tusikubaliane kuhusu mahudhui ya wimbo.Ila tunaweza kukubaliana kuhusu umahiri wake wa kutumia fasihi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.