Recent content by TheScoops

  1. TheScoops

    Pata ramani nzuri kabisa na nyumba ya ndoto yako jijini Mbeya

    Leta Ramani uliyo ...chora hachana na picha za ku- download Kijana pambana siyo una download pic
  2. TheScoops

    Rashid Shangazi(MB): Niliambiwa nitoe US Dollar 1500 ili nipewe PhD ya Heshima

    Wakuu kupewa honorary doctorate is not an issue.... Ukipewa kwa kumsaidia watu kutatua matatizo ya kijamii na ikawa na potential impact kwenye jamii ... Bali tusitumie hizo phD kama kudhiirisha ukonga wetu Africa
  3. TheScoops

    Mwigulu Nchemba: Udokta wangu sio wa kupewa, niliusomea

    Jamii ya kina mwigulu wakipata elimu ya PhD....... Ni lazima wajimwambafai sana Kwa maana ya mazingira ya kule kwao ... wajinga ni wengi
  4. TheScoops

    Musukuma: Mchele Mwanza kilo Sh. 3,800 halafu Waziri Mwigulu anasema tusijadili Inflation tujadili Uganga, ameniudhi sana!

    Mkuu unasema msukuma alikuwa na ziara ya kikazi USA. Duuh.... Msukuma ni hatari sana kwamba anachambua hoja akiwa ndani ya chopa angani..
  5. TheScoops

    Kama mtu anafika chuo kikuu na kuhitimu bila kujua kusoma na Kuandika je lengo la Elimu ni lipi hapa Tanzania?

    Kijana kwa uandishi wako tuu inadhihirisha Wewe naye ni Moja Kati hao unao wasema
  6. TheScoops

    Patrobas Katambi: Vijana 1,732,509 hawana ajira Nchini

    Kikao Cha chama chama pinduzi mkuu Wanapeana mipasho tuu... Badala ya kujadili maslahi ya taifa
  7. TheScoops

    Je, unaweza kuacha mshahara wa milioni 7.8 na kuwa Mkuu wa Wilaya anayelipwa milioni 3 kwa mwezi?

    Ukiwa DC unakula mema na tunu ya Taifa aisee Nje ya msgaara Kuna usalama mkubwa sana wa mambo Yako ... Rais wa Wilaya si kitu Cha kawaida
  8. TheScoops

    Nakereka sana kusikia na kuona Rais Samia akiitwa au kuandikwa Dr. Samia

    Kwani shida Iko wapi prof, ivi unazani PhD wote nolazima waingie class Mzee Zingine ni za heshima mkuu Usione wivu ila standard lazima ziwekwe bayana siyo Kila mtu anastahili kupewa hiyo heshiama...
  9. TheScoops

    INAUZWA Drilling Machines for sale

    Mkoa gani Ipo .... Mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. TheScoops

    Matumizi ya redio kwa ajili ya habari na burudani yameshapitwa na wakati

    Kwa mtazamo uliyo nayo unabudi kuitwa Mtanzagiza mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. TheScoops

    Matumizi ya redio kwa ajili ya habari na burudani yameshapitwa na wakati

    Mwandishi kabla ya ku_type mambo kama haya kwenye juu kubwa kama hii inakubidi uwe na Tafiti zakutosha si kuja na fikra fupi namna hii Fatilia kwa umakini utakuta unakiongea ni non sense Sent using Jamii Forums mobile app
  12. TheScoops

    Miaka 61 ya Uhuru: Japo Tumefanikiwa sana kielimu, shule, vyuo na wasomi (Madaktari na Maprofesa kibao), mbona bado adui ujinga yupo? Tunakwama wapi?

    Tafsi ya kawaida ya MSOMI ni hali ya kukabiliana na matatizo na kuyachanganua kwa mapana na si, vinginevyo. kama tukishidwa kujua nadharia hii ni vyema tungepunguza idadi ya Dr na prof,kwa maana ya uhaba wao kulitumia vizuri maarifa waliyo yapata. Kuleta madhara kwenye jamiii zetu na Taifa kwa...
  13. TheScoops

    Chonde chonde CHADEMA, John Heche asikose kwenye Kikosi Kazi chenu pale Ikulu kwenye Maridhiano ya Vyama vyote

    Kuna agenda gani ikulu wakuu....., Wawakilishi watuwakilishe vyema ,
  14. TheScoops

    Wenye Mitaji na nia njooni tuwekeze pamoja kwenye biashara hii

    Mkuu naomba niwepo kati Yao natanguliza shukrani kwa proposal nzuri kama hii
  15. TheScoops

    Unafiki wa Waafrika: Tunawezaje kuwachukia wakoloni lakini tukakumbatia ujinga waliotupandikiza?

    Kwani, mkuu unatakusemaje kwa mfano.... Yaani unataka tuzidi kukumbatia Tamaduni za kimasikini za kiafrica ili Hali hao watu tumeishi nao na kijifunza Tamaduni zao na wenyewe nao wame adopter some traditional zetu zingine ingawa ni ndogo kulinganisha na zakwao, Kimsingi afrika tunatakiwa...
Back
Top Bottom