Recent content by thereter

  1. T

    JamiiForums Tanzania Nashauri kila basi la masafa marefu liwe na mtaalam wa afya

    Una maanisha nan atawalipa hao wauguzi watakaoajiriwa kweny mabasi?mwenye KAMPUNI au Government
  2. T

    JamiiForums Tanzania From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)

  3. T

    JamiiForums Tanzania 2023 Bunge linaendelea; Je, vilio vyao nani atavisikia?

    Wakuu habari za jioni Leo bhana nimewasha TV Yangu ya kichogo mara paapu nikaona tbc live Bunge likiendelea, mimi siyo mshabiki wa tbc but Leo nilikuta hiyo Chanel baada ya kuwasha TV sasa sijui ni wife au watoto sijataka kuhoji sana nikaangalia Wabunge Wengi wanaonesha nia ya kuchukizwa na...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Nipeni elimu juu ya madeni ya Luku, hayo madeni huwa yanakopwa na nani? Kwanini nidaiwe mimi kwenye meter yangu?

    Nyumba ina deni na deni Hilo ni kubwa ,Kwa sababu ukipga hesabu za haraka haraka hyo frem inajitegeme ruku yake so frem ina MDA mrefu haina mpangaji USHAURI 1. Nenda tanesco ukafahamu deni kamili 2.ukishafamu deni ujue pia kila mwezi makato ya deni total NI TSH? 3.ukimalizana na tanesco rudi...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Polisi Trafiki na Ukaguzi wa Leseni hawafanyi kazi kwa weledi!

    Tanzania ndo nchi pekee ambayo kila mtu ni mchambuzi wa kila Tasisi na idara.....
  6. T

    JamiiForums Tanzania Hii ajali kiboko!

    Ok,
  7. T

    JamiiForums Tanzania Hii ajali kiboko!

    Noma sana ,ni ajali mbaya sana
  8. T

    JamiiForums Tanzania Hili la bwana mdogo (mwanafunzi) kujisomea kwenye taa za barabarani limekaa kisiasa kabisa

    Aliepiga picha ,alipiga na ni siri ya moyo wake
  9. T

    JamiiForums Tanzania Hili la bwana mdogo (mwanafunzi) kujisomea kwenye taa za barabarani limekaa kisiasa kabisa

    Ukiitaza picha Kwa makini ,kwanza picha kuna mazingira ya Pandey zote mbili kwamba imepigwa kimkakati au siyo kimkakati KIMKAKAT 1 ukiiangalia Kwa makini picha namba mbil mazingira yanaonesha ni mjini Je? Kuna mji ambao Hamna umeme 2 .Tsheti aliovaa imeandikwa Tanzania je Kwa nn avae hio...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Watumishi wote mlioko chini ya rais Samia muache dharau mtapoteza nafasi zenu

    Siyo lazima wanielewe ,wachaga wanasema " Messege sent and derivary
  11. T

    JamiiForums Tanzania Watumishi wote mlioko chini ya rais Samia muache dharau mtapoteza nafasi zenu

    Mm ni paka au mbwa frani ila Leo nimeamua niseme ,watumishi wote mliopewa nafasi na rais Samia naomben SANA muache dharau lasivyo mtapoteza nafasi zenu .. Kwa nini nimesema hiv Mm ni kama paka ninaezurula na kujiokotea mifupa but Kuna dharau kubwa SANA ipo serikalini ambapo Kwa makusudi...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Wamepigwa Tena na Vanilla International. Watanzania Tuna Matatizo ya Akili

    Kuna mshikaji alipigwa mwaka Jana na kikampun kama hiki kama milion 12 .alikuwa kama kichaaa
Back
Top Bottom