Wakuu habari za jioni
Leo bhana nimewasha TV Yangu ya kichogo mara paapu nikaona tbc live Bunge likiendelea, mimi siyo mshabiki wa tbc but Leo nilikuta hiyo Chanel baada ya kuwasha TV sasa sijui ni wife au watoto sijataka kuhoji sana nikaangalia
Wabunge Wengi wanaonesha nia ya kuchukizwa na ufisadi mkubwa katika baadhi ya Taasisi na idara ndani ya serikali, ukweli mwanaume au mwanamke ambae ni mbunge anapoongea kwa hisia anachokizungumza it is truth but
My point
Ukitazama mifumo au muundo wa serikali yetu tunaona kuna mihimili mitatu
1. Serikali kuu
2. Mahakama
3. Bunge
Ukitazama mihimili hii inajitegemea tunavyoambiwa na tulivyosoma ila ukweli usiopingika mm siamini
Serikali KUU yupo Rais au Waziri Mkuu hapo sijui
Mahakama yupo jaji mkuu
Bunge yupo Spika
Ukitazama ukweli, spika rais ndie anayemua awe nani, Jaji Mkuu Rais ndie anaemua awe nani , Waziri Mkuu Rais ndie anayeamua awe nani
Je, kuna MTU hapendi familia yake Ile vizuri
MFUMO WETU WA BUNGE
MBUNGE AKITOA HOJA YENYE MASHIKO AU HOJA YA MSINGI INAKWENDA WAPI NA NI NANI MWAMUUZI WA MWISHO ?
End
Mwenyezi Mungu tusaidie
Leo bhana nimewasha TV Yangu ya kichogo mara paapu nikaona tbc live Bunge likiendelea, mimi siyo mshabiki wa tbc but Leo nilikuta hiyo Chanel baada ya kuwasha TV sasa sijui ni wife au watoto sijataka kuhoji sana nikaangalia
Wabunge Wengi wanaonesha nia ya kuchukizwa na ufisadi mkubwa katika baadhi ya Taasisi na idara ndani ya serikali, ukweli mwanaume au mwanamke ambae ni mbunge anapoongea kwa hisia anachokizungumza it is truth but
My point
Ukitazama mifumo au muundo wa serikali yetu tunaona kuna mihimili mitatu
1. Serikali kuu
2. Mahakama
3. Bunge
Ukitazama mihimili hii inajitegemea tunavyoambiwa na tulivyosoma ila ukweli usiopingika mm siamini
Serikali KUU yupo Rais au Waziri Mkuu hapo sijui
Mahakama yupo jaji mkuu
Bunge yupo Spika
Ukitazama ukweli, spika rais ndie anayemua awe nani, Jaji Mkuu Rais ndie anaemua awe nani , Waziri Mkuu Rais ndie anayeamua awe nani
Je, kuna MTU hapendi familia yake Ile vizuri
MFUMO WETU WA BUNGE
MBUNGE AKITOA HOJA YENYE MASHIKO AU HOJA YA MSINGI INAKWENDA WAPI NA NI NANI MWAMUUZI WA MWISHO ?
End
Mwenyezi Mungu tusaidie