Recent content by ThePlagueDoctor

  1. ThePlagueDoctor

    Balozi wa Marekani Michael A. Battle: Kusema Tanzania haijafungamana, uhalisia haupo hivyo

    Kwakweli nimelia saana, tuungane kwa pamoja kumsikitikia
  2. ThePlagueDoctor

    Leonardo aache kujiona msomi, kama ni degree kila mtu anayo

    Acha mbwembwe za kishamba kama una degree ni wewe, wengine hawana na hapo anafanya sanaa maisha yaende, kama umekosa kazi bora uchukue jembe ukalime kuliko uharo ulioandika hapo
  3. ThePlagueDoctor

    DOKEZO Gharama mpya ambazo Aga Khan wanataka walipwe kwa wateja wa NHIF ni kuhujumu nchi. Haikubaliki

    Kwani lazima uende Agakhani??? Nenda hizo hospital za rufaa za mikoa utibiwe, tofautisha kati ya private na serikali.
  4. ThePlagueDoctor

    Prof. Janabi: Chama cha Figo Tanzania kitawasilisha pendekezo la kuvuna Figo za Marehemu

    Ndugu Tanzania hii sheria hakuna na kila kitu ni rahisi tu
  5. ThePlagueDoctor

    Mambo ambayo yananiumiza na yaliyowahi niumiza sana

    😂😂😂😂kazi ipo duuuh kuna vitu vinasikitisha na kufurahisha kwa wakati mmoja
  6. ThePlagueDoctor

    Namfukuzaje mjomba

    Muhimu ujumbe umekufikia vyema, hayo mengine ni ziada, apangilie vyema kama yupo kwenye mashindano??? Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
  7. ThePlagueDoctor

    Msaada: Mdogo wangu yupo darasa la 6 ila jina limetoka kwenye matokeo ya darasa la 7 ikidaiwa jina lake liliuzwa

    nimereport kwa mratibu elimu wa kata. na kwa afisa elimu wa wilaya na imeonekana kuna mchezo haram umechezwa. Jumatano hii ndo tunaenda kujua hatima ya hili suala na mwalimu mkuu atachukuliwa hatua gani
  8. ThePlagueDoctor

    Msaada: Mdogo wangu yupo darasa la 6 ila jina limetoka kwenye matokeo ya darasa la 7 ikidaiwa jina lake liliuzwa

    hapana mdogo wangu hakuwa mtoro kabisa isipokuwa walimu walicheza mchezo haram
  9. ThePlagueDoctor

    Msaada: Mdogo wangu yupo darasa la 6 ila jina limetoka kwenye matokeo ya darasa la 7 ikidaiwa jina lake liliuzwa

    Wakuu habari zenu? Mmeshindaje? Sasa Wakuu kuna shida kidogo nahitaji ushauri wenu kuna mdogo wangu alikuwa anasoma Arusha shule ya msingi sasa kule kulitokea shida kidogo akaamishwa shule akaletwa Ukerewe. Wakati anaamishwa alkuwa darasa la sita lakini shuleni alipohamia Mwalimu Mkuu akakataa...
  10. ThePlagueDoctor

    Ushauri: Mwanangu wa kiume uume (mashine) haisimami, mama yake kashauriwa amuonyeshe nyeti kumtibia

    Daaah! Pole sana mzee baba, cha kufanya hapo tumia mbinu yoyote uwezayo yani fanya chochote mtoto awe wa kiume ili apone yani vinginevyo ukimwacha utajutia mbeleni. Fanya halaka kabla hajakuwa zaidi
Back
Top Bottom