Mwaka 2015 niliuza vitu vyangu vyote yan kuanzia asset za ndani pamoja na kiwanja
Nilichaguliwa kusoma course ya afya maarufu kama COMMUNITY HEALTH yan uwezi amini had leo tupo mtaani hatjui hatma yetu
Na nimepoteza kila kitu nipo mjini dar maana home nikikaa dharau nyingi sn wenzangu wamepiga...
Nukuu za Rais Magufuli
''Mimi ni Rais wa maskini. Waliozoea kuishi kama malaika wataishi kama mashetani''.
''Watoto watasomeshwa bure kwenye utawala wangu hivyo fyatueni watoto wengi maana watasoma bure''
''Serikali yangu haitawapa chakula. Kila mtu atabeba msalaba wake. Njaa haijaletwa na...
1.Rais kukosa busara mbele za wananchi badala yake kuhubiri chuki,ubaguzi na vitisho
2.Nchi kuongozwa kwa matamko yasiyo na ticha kwa maendeleo na ustawi wa taifa e.g bila cheti cha kuzaliwa hakuna kuoa,mtu mmoja kuwatisha wengine kuwafukuza mkoani kwake ilikhali naye yu ugenini
3.Serikali...
Yan watu mtaani wanafanya kazi out of taaluma zao na wanataka watu wawe na uzoefu bindi waajiriwapo hapo naamua kuwa fundi simu kumbe ni mtaalam wa afya
Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo maarufu
ya kwenye daladala.
1.Yatima hadeki
2.Utamu wa chips mimba
3.Ukitaka kujua ugumu wa kudai kopesha ukweni
4. Usiyempenda kaja
5. Kobe hapimwi joto
6. Acha kazi uone kaz kupata kaz
7. Ukichezea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.