Recent content by themagnificient

  1. themagnificient

    JamiiForums Tanzania Mrejesho wa uzi wa wanawake kutusogezea makalio kwenye Dala dala

    Naam kwanza niwaombe moderators huu uzi msiunganishe na uzi wa mwanzo kwa sababu nimetumia garama zangu kufanya utafiti kwa miaka 8 nimerudi na majibu sahihi kwa walalamikaji Maana mimi mwnyewe ni mzee wa kuchaji mstaafu na wakati uzi wa malalamiko unaletwa hapa kwanza niliwashangaa wale vijana...
  2. themagnificient

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wa kimakonde wanawanyima utamu boyfriends zao

    Hahah
  3. themagnificient

    JamiiForums Tanzania Jwtz mnatia aibu sana kuagiza Yutong china wakati mlikuwa na kiwanda cha nyumbu

    Hii nchi bwana mmajua Kenya wanatupiga gape sana kwa kuzalisha basi zao za ndani pasipo kutegemea nnje sasa nashangaa hawa ndugu zetu walikuwa na viwanda vya kuunda bodi za magari sijui vilikufa wapi mimi nlitegemea jeshi liwe na mabasi yaliyoundwa hapa hapa tena imara nashangaa wameagiza yutong...
  4. themagnificient

    JamiiForums Tanzania Natafuta gari nzuri

    Brevis anapata ilaa sasa.lile jini litamfilisi
  5. themagnificient

    JamiiForums Tanzania Kumbe Kidoti naye kala za uso?

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  6. themagnificient

    JamiiForums Tanzania Kumbe Kidoti naye kala za uso?

    Za chini chini inasemekana bibie nae alikuwa na tabia za umiodo wa tanga yule yule mmbea akapeleka na umbea wa jojo bwama kwa mama ndio maana jojo juzi hapa alitolewa kule juu kijani now yupo mtaani tu wambea wanasema Hata kwenye page yake ya insta tokea 29 hadi leo kajikausha wambea wanasema...
  7. themagnificient

    JamiiForums Tanzania Tunapoelekea tusipokuwa makini kuna watu watakufa kwa joto

    Wakati tunafunga ac mlituambia tunaringa
  8. themagnificient

    JamiiForums Tanzania Kwa nilichokiona, Mwendokasi Mbagala utaenda kufa tena

    Mm siteseki sababu sitegemei ajirw
  9. themagnificient

    JamiiForums Tanzania Kwa nilichokiona, Mwendokasi Mbagala utaenda kufa tena

    Magari 150 yana maderva 320 maana bus moja watu wanaingia kwa shift ukichanganya na ajira nyingine za wahasibu,masuperbisor, wasimamzi wa vituo mafundi mradi tu huu aliopewa bwana mofet unaweza ajiri watu 500 hadi 600 Je, kuna mtu alishawahi kusikia huyu bwana katangaza nafasi za wazi ili watu...
  10. themagnificient

    JamiiForums Tanzania Tahadhari, Ilikuwa niende jela miaka 30 sababu ya huyu binti kuweni makini

    Ule mzgo mzito huwez amini mtoto
Back
Top Bottom