Recent content by themagnificient

  1. themagnificient

    FT: UCL Mechi za Robo Fainali | Arsenal 2-2 Bayern Munich, Real Madrid 3-3 Man City | 09/04/2024

    Madrid wameyakanaga kydadadeki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] migli mikali sana
  2. themagnificient

    Hali imekuwa ngumu sana, naona mambo yanazidi kuwa magumu tu

    Kwa sasa kumeibuka kundi la machawa wakishashiba ndio wanaibuka kusifia sifia yani
  3. themagnificient

    Hali imekuwa ngumu sana, naona mambo yanazidi kuwa magumu tu

    Naona Hali ndio inazidi kuwa tete kila kukicha hasa awamu hii ,wanaokusifia ni wale wanaopata mkate ni lazima watetee matumbo yao ila kiuhalisia hali ni ngumu [emoji117] Mafuta ambayo ndio mgongo wa uchumi wa nchi yamepanda bei sana now yanakaribia 3500 kwa lita jambo ambalo ni la Hatari...
  4. themagnificient

    Dola imepanda hadi nimeshangaa hali ni ngumu

    Sio mchezo dola ipo juu juzi dola 15 nimekatwa 48,000 na vodacom
  5. themagnificient

    Dola imepanda hadi nimeshangaa hali ni ngumu

    Miezi sita iliyopita nilikuwa nikifanya matangazo ya online, nilikuwa nikikatwa shilingi 2550 kwenye matercard ya vodacom kwa dola moja Le siamini Dola moja inakatwa zaidi ya sh 3100 kwa ajili ya kulipia mambo mbali mbali mtandaoni hasa sisi tunaotafuta ugali wetu kupitia mitandao nimechoka aisee
  6. themagnificient

    Kuna haja gani ya muungano polisi kukamata wakristo huko Zanzibari wanaokula mchana?

    We ni mjinga kwani nyie wapemba huku bara mnakulaga faraga?
  7. themagnificient

    Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

    Mahali akitawala Muislam 100% basi huwa ni marufuku kutoa nafasi kwa imani nyingine kuishi maisha yao yaani wao wanajiona wapo sahihi zaidi hawataki kuskia imani nyingine, Angalia Saudi Arabia,Iran,Oman,Qatar na nchi nyingine za kiislam ambazo tayari zimeshawaambukiza hizo tabia hadi kwenye...
  8. themagnificient

    Waziri Mchengerwa Kuhusu Udart kuwa hata na aibu

    Moderator naomba msiuunganishe huu uzi nna ujumbe wake Binafsi Mheshimiwa Waziri kuwa hata na aibu maana nimeskia unawaambia wananchi kuwa hadi Septemba shida ya mwendokasi haitakuwepo,kitu ambacho wewe mwenyewe unajua ni uwongo Umesema mabasi 170 yatashushwa ili kuondoa huo usumbufu, ila...
Back
Top Bottom