pelekeni baraka zenu huko.
kila mtu anatafuta furaha yake anapojua mwenyewe.
hamjatupa nyinyi hizo ajira.
bodaboda, daladala tunaendesha wenyewe, umachinga tunafanya wenyewe,
hizo kodi mnazokusanya kaleni na wake zenu hatuwapangii.
tunafanya yetu na sisi msitupangie.
#2020
Hakuna cha kukanusha, acha na dunia ijue tuko kwenye hali gani. Na tunajua utawala huu si wa kusikiliza wananchi wanahitaji nini. Sisi ndio tupo mtaani, tunajua mahitaji yetu, leo hii hao wamekaa kwenye viti vyao wanajifanya hawasikii sauti zetu, hawaoni maumivu yetu na bila shaka hawaumizwi na...
hahahahahahaha
pole sana.
nakupa pole si kwakuwa unaumwa au umefiwa...
pole kwa kuwa umeathirika na ugonjwa wa upungufu wa fikra akili mwako.
wengi walio na ugonjwa kama wako wameanza kupata tiba.
mjinga angenifunza vp kuandika?
wewe ndio sio mzima.
punguani mkubwa wewe na hao wenzio.
tunashindwa kuona bunge live unatuletea barabara live ya kazi gani???
hiyo barabara tutaiona hata mwakani.
Nafananisha uwezo wako wa kufikiri na NZI WA CHOONI mwenye rangi ya KIJANI.
2020 utakuwa mwisho wa NZI WA KIJANI kama wewe na wote wenye akili kama zako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.