Special Thread: Tundu Lissu for Tanganyika Law Society

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,162
103,603
tmp_24861-FB_IMG_14890421008681863876756.jpg

Wakuu nakuja kwenu kwa unyenyekevu wa hali ya juu sana namleta kwenu wanasheria,mwanasheria na wakili nguli Tundu Antipas Lissu

Kama mnavyojua 18 March 2017 kutakuwa na uchaguzi wa Rais wa Tanganyika Law Society(japo kuna pingamizi mahakama). Moja kati ya wagombea wa kiti hicho cha urais ni Tundu Antipas Lissu,anayeonekana pichani hapo juu.

Historia ya Tundu Lissu kwenye tasnia ya sheria na uwakili inajulikana.

Malengo ya Tundu Lissu akiwa Rais wa TLS "is to make TLS great again". Mh.Lissu amepania kuifanya TLS ing'are na kuwa chama hai katika kutimiza malengo ya kuanzishwa kwake

Niwaombe Watanzania wote tumuombee ushindi Tundu Lissu aweze kuwa rais wa TLS. Niwaombe mwanachama wote wa TLS waone umuhimu wa Tundu Lissu kuwa Rais wao.

Kupitia uzi huu tutawasilisha na kujadili mchakato mzima wa uchaguzi wa TLS hususani katika mambo yanayomuhusu mgombea Tundu Lissu

Asanteni
CV ya Tundu Antipas Lissu

Full Name: Tundu Antiphas Mughwai Lissu
Member Type: Elected Member
Constituent: Singida Mashariki
Political Party: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Office Location: Box 21746, Dar Es Salaam
Office Phone: +255 22 2780859/+255 754 447323/+255 786 572 571
Office E-mail: tlissu@parliament.go.tz
Date of Birth: 20 January 1968

EDUCATION

Mahambe Primary School:
CPEE (1976 - 1982) - Primary School

Galanos Secondary School:
ACSEE (1987 - 1989) - Secondary School

Ilboru Secondary School:
CSEE (1983 - 1986) - Secondary School.

University of Dar Es Salaam:
LLB (1991 - 1994) Bachelor's Degree

University of Warwick, UK:
LLM (1995 - 1996) - Masters Degree

EMPLOYMENT HISTORY
Member of The Parliament of Tanzania:Singida West Constituency (2010 - 2015)

Lawyers' Environmental Action Team (LEAT):Director of Researcher (2003 - 2008)

The World Resources Institute (WRI), USA:Researcher (1999 - 2002)

Lawyers' Environmental Action Team (LEAT)Researcher (1998 - 1999)

D'Souza Chambers:Advocate (1994 - 1997)

Bondeni Secondary School:Teacher (1990 - 1991)

POLITICAL EXPERIENCE
CHADEMA:Director of Law (2004 - To Date)
 
View attachment 478495
Wakuu nakuja kwenu kwa unyenyekevu wa hali ya juu sana namleta kwenu wanasheria,mwanasheria na wakili nguli Tundu Antipas Lissu

Kama mnavyojua 18 March 2017 kutakuwa na uchaguzi wa Rais wa Tanganyika Law Society(japo kuna pingamizi mahakama). Moja kati ya wagombea wa kiti hicho cha urais ni Tundu Antipas Lissu,anayeonekana pichani hapo juu.

Historia ya Tundu Lissu kwenye tasnia ya sheria na uwakili inajulikana.

Malengo ya Tundu Lissu akiwa Rais wa TLS "is to make TLS great again". Mh.Lissu amepania kuifanya TLS ing'are na kuwa chama hai katika kutimiza malengo ya kuanzishwa kwake

Niwaombe Watanzania wote tumuombee ushindi Tundu Lissu aweze kuwa rais wa TLS. Niwaombe mwanachama wote wa TLS waone umuhimu wa Tundu Lissu kuwa Rais wao.

Kupitia uzi huu tutawasilisha na kujadili mchakato mzima wa uchaguzi wa TLS hususani katika mambo yanayomuhusu mgombea Tundu Lissu

Asanteni
Tunamuombea kila dua na kila la kheri mh Tundu lisu
 
View attachment 478495
Wakuu nakuja kwenu kwa unyenyekevu wa hali ya juu sana namleta kwenu wanasheria,mwanasheria na wakili nguli Tundu Antipas Lissu

Kama mnavyojua 18 March 2017 kutakuwa na uchaguzi wa Rais wa Tanganyika Law Society(japo kuna pingamizi mahakama). Moja kati ya wagombea wa kiti hicho cha urais ni Tundu Antipas Lissu,anayeonekana pichani hapo juu.

Historia ya Tundu Lissu kwenye tasnia ya sheria na uwakili inajulikana.

Malengo ya Tundu Lissu akiwa Rais wa TLS "is to make TLS great again". Mh.Lissu amepania kuifanya TLS ing'are na kuwa chama hai katika kutimiza malengo ya kuanzishwa kwake

Niwaombe Watanzania wote tumuombee ushindi Tundu Lissu aweze kuwa rais wa TLS. Niwaombe mwanachama wote wa TLS waone umuhimu wa Tundu Lissu kuwa Rais wao.

Kupitia uzi huu tutawasilisha na kujadili mchakato mzima wa uchaguzi wa TLS hususani katika mambo yanayomuhusu mgombea Tundu Lissu

Asanteni
Kila la Kheri Tundu Lissu
 
Malengo ya Tundu Lissu akiwa Rais wa TLS "is to make TLS great again". Mh.Lissu amepania kuifanya TLS ing'are na kuwa chama hai katika kutimiza malengo ya kuanzishwa kwake

Hii tabia ya kuto-appreciate kazi ya waliomtangulia saio sahihi.aNASEMA ANATAKA IWE HAI TENA .ANAONA WENZIE WOTE WALIOMTANGULIA WALIKUWA HAMNA KITU ISIPOKUWA YEYE.Ni strategy mbaya.

Halafu ukiona mtu proffesional anafanya kampeni ya kuchaguliwa kwenye proffesinal association ujue huyo hafai.Kamati ya uchaguzi iliangalie hili Tundu LISU amekiuka maadili ya kiuwakili.Wakili hatakiwi kujitangaza na kujifanyia marketing ndani ya TLS au nje ya TLS.
 
Narudia tena.

Wanasheria issue hii wakiwa legelege kama waandishi wa habari walivyoitwa siku ile kwa mkulu na kuuliza maswali ya kujichekesha na kujipendekeza, basi wajue ndo imekula kwao rasmi.

Hamna kipindi ambacho wanasheria wote wanatakiwa waungane na wawe vigilant at all costs kama kipindi hichi. The integrity and fate of the Justice system is at their hands on this peril moment.

Please nawaomba.

Kama hamtasikia mkajifanya vinara wa kujipendekeza chama cha kijani, msije mkalaumu kwa watakayowapata hapo baadaye.
 
Narudia tena.

Wanasheria issue hii wakiwa legelege kama waandishi wa habari walivyoitwa siku ile kwa mkulu na kuuliza maswali ya kujichekesha na kujipendekeza, basi wajue ndo imekula kwao rasmi.

Hamna kipindi ambacho wanasheria wote wanatakiwa waungane na wawe vigilant at all costs kama kipindi hichi. The integrity and fate of the Justice system is at their hands on this peril moment.

Please nawaomba.

Kama hamtasikia mkajifanya vinara wa kujipendekeza chama cha kijani, msije mkalaumu kwa watakayowapata hapo baadaye.
Mkuu nakubaliana na wewe,mimi naogopa sana nikisikia watu kama kina Mwakyembe wanaongea vile,wananchi ndio kama tunavyowajua sio watu wa kuungana na kuchukua hatua,at least wanasheria wakiunganisha nguvu kupitia TLS imara tunaweza kuwa na watetezi
 
Njaa haina baunsa watu wanalipwa kuja kuwapigia promo watu humu ili tu waonekane wsnajulikana au na wao wamo katika wanao takiwa kuwemo tuwe makini maana wengne wanakazana kupinga wengne kushangilia bila kujua ndani yao wapo walio lipwa

Ukiona nimekugusa andamana ili jua kuandamana bila kibali ni kuvunja sheria
 
Back
Top Bottom