Recent content by theHAVARD_product

  1. theHAVARD_product

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa Mpira wa Benjamin Mkapa giza limejaa inatia huzuni

    So now unanipangia jinsi ya kutumia muda wangu.
  2. theHAVARD_product

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa Mpira wa Benjamin Mkapa giza limejaa inatia huzuni

    Watanzania bana kwa hiyo unazani nipo Taifa.
  3. theHAVARD_product

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa Mpira wa Benjamin Mkapa giza limejaa inatia huzuni

    Kwa Akili yako nimetoa mapovu
  4. theHAVARD_product

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa Mpira wa Benjamin Mkapa giza limejaa inatia huzuni

    Jifunze kufikiria vizuri. Na pata exposure kidogo
  5. theHAVARD_product

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa Mpira wa Benjamin Mkapa giza limejaa inatia huzuni

    Hela za walipa kodi zimetumika
  6. theHAVARD_product

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa Mpira wa Benjamin Mkapa giza limejaa inatia huzuni

    Kwa lipi
  7. theHAVARD_product

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa Mpira wa Benjamin Mkapa giza limejaa inatia huzuni

    Hapo ndio umetumia uwezo wako wa kufikiri
  8. theHAVARD_product

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa Mpira wa Benjamin Mkapa giza limejaa inatia huzuni

    Ukiangalia Mechi za CHAN ndio utangundua nchi hii mafisadi wanakula sana pesa bila Aibu. Giza limetawala sana hata majukwaa ya mashabiki hayaonekani vizuri. Ni kama vile Hatukuwa tumejipanga muda wote huo tuliopewa. Uwanja ambao tumeambiwa umetumia Bilion 30 kwa marekebisho umejaa sana Giza...
  9. theHAVARD_product

    JamiiForums Tanzania Sector ya nyumba za kupanga imekumbwa na mtikisiko mkubwa sana, hali mbaya

    Sekta ya Biashara ya nyumba na ujenzi zimeathirika sanaaa !!! Ukitaka kufahamu ili jaribu kuuza nyumba yako utapita picha kamili. Sio vitu vya kufurahia kabisa .
  10. theHAVARD_product

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rwandan player says Kenya is above Tz

    HAHAHAHA lini mara ya mwisho timu ya Kenya kufika nusu fainali za ligi ya mabingwa Afrika?? Hata robo fainali hazigusi.
  11. theHAVARD_product

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli afanya uteuzi wa Mabalozi 21

    Mabalozi wanajua kazi zao kweli? Maana list imejaa Makada tupu.
  12. theHAVARD_product

    JamiiForums Tanzania Rushwa Fixed Account: Msajili na Gavana wanatuona watanzania hatuelewi chochote

    Usipoteze nguvu kumuelewesha huyo jamaa. Hafichi chuki zake kwa Magufuli hata kwa vitu visivyotaka ubishi. MPUUZE TU.
  13. theHAVARD_product

    JamiiForums Tanzania Simba, Yanga ni taasisi zenye nguvu kuliko CCM, Ukawa

    Hongeraa sana kwa article maridhawa. Kila kitu umeeleza vyema.
  14. theHAVARD_product

    JamiiForums Tanzania Wivu wa Diamond ni zaidi ya "Mke mwenza"

    Acha roho ya husda wewe, unajua Davido kaimba Collabo na wasanii wangapi wa Afrika mashariki? Mbona hawajatusua kama Diamond Platnumz!!?
  15. theHAVARD_product

    JamiiForums Tanzania Baada ya WCB kutoa Wimbo: Ommy Dimpoz atao mapovu, Diamond amjibu

    Kwa mtu kama mimi niliye na uzoefu wa miaka 5+ nikiwa na YouTube channels zaidi ya Sita, wanavyodai mtu ananunua views 8M+ huwa nacheka sana. Njia pekee ya kununua views YouTube ni through YouTube promotions kama wanavyofanya Coke Studio, Tigo, Vodacom Nk, Na ni gharama sanaa.
Back
Top Bottom