Recent content by THEGENTLEMAN1996

  1. THEGENTLEMAN1996

    Kwanini kura za Mtulia zimepungua kwa zaidi ya 60%?

    SIASA NI JAMBO ZURI KAMA TAMAA ZA MADARAKA ZITAFUTIKA
  2. THEGENTLEMAN1996

    SERIKALI: Tumepata pigo kifo cha Mwanafunzi NIT, tutagharamia msiba na mazishi

    Rais Magufuli anadai kuwa AMESIKITISHWA NA TUKIO HILO.... Rais Magufuli ningependa atoe AMRI Kwa polisi waeleze RISASI ZA HEWANI zinageukaje ?. NB,Ametumia mtandao wa twitter kutoa POLE (kama TRUMP )
  3. THEGENTLEMAN1996

    Hivi mazoezi kama haya kwa jeshi letu yanaweza kutusaidia Dunia ya teknolojia ?

    Samahani wakuu wa ulinzi ! hivi majeshi yetu yana TEKNOLOJIA ambayo ipo SIRINI sana bila sisi kufahamu ? kuna video nimeitazama ni ya muda mrefu, wanajeshi wakipiga mazoezi makali PHYSICAL,wanapita kwenye TOPE,mara chini ya fensi, lakini je kwa dunia ya BOMU LA NYUKLIA AU BOMU LA ATOMIKI...
  4. THEGENTLEMAN1996

    Harusi za siku hizi zimegubikwa na uvunjifu wa maadili

    unataka wafiche nini? mbona wazungu wanaoweka wazi kuliko sisi wamefanikiwa nyanja zote? cha msingi ni kutafuta pesa na watoto waishi kwa raha na amani!
  5. THEGENTLEMAN1996

    Polisi yakiri kupiga mtu risasi maandamano ya CHADEMA

    hivi huyo mtu alikuwa hewani? mimi sijui mambo ya risasi?
  6. THEGENTLEMAN1996

    Kimenuka Kinondoni: Mbowe na wanachadema waliokuwa wanaandamana kwenda ofisi za NEC, watawanywa kwa mabomu

    NDUGU, mimi sijui mambo ya sheria,hivyo nmeona hiyo video watu wakipgwa na kuvutwa vutwa na hao polisi . je ni halali polisi kufanya hivyo ? je nikishtaki atachukuliwa hatua ? ndugu zangu SIASA tuwaachie wenye SIASA...!! POLENI WOTE MLIOPATA CHA MOTO KINONDONI
  7. THEGENTLEMAN1996

    Je GENEVA ni centre ya dunia!?..

    centre ya dunia ni nini ? au mashirika mengi ndo kuwa centre ?
  8. THEGENTLEMAN1996

    Mrejesho: Baada ya kuujaribu uchawi wa "Chuma Ulete"

    uchawi hauendi kwa mentali ! sio lazima wagonjwa wote mpone
  9. THEGENTLEMAN1996

    Anahitajika mwalimu wa nursery

    kuna dogo langu yupo Tabora, mshahara ni bei gan ili tupate pesa tutoe elimu
  10. THEGENTLEMAN1996

    Odinga hayupo Tanzania kama ilivyoripotiwa na DW

    helicopter unazifahamu lakini ? kenya ni karibu kwa hicho kitu kinaitwa helicopter ! acha hisia kali
  11. THEGENTLEMAN1996

    Dr. Shika umeishia wapi

    tupo kwa nabii tito
  12. THEGENTLEMAN1996

    Je, kuna dhambi kwa mkristo kuwa tajiri kwa kurithi au kwa juhudi zake mwenyewe?

    imani si kitu rahisi ndugu ! amini ukiweza, usipoweza acha ......... MUNGU anatuona
  13. THEGENTLEMAN1996

    Mwanga(Mchawi) na MWANGA(TAA)

    mi uhakika 100% nimekupa
  14. THEGENTLEMAN1996

    Majengo ya kisasa yanavyopendeza na kuvutia...

    hakuna kinachovutia hapo !
Back
Top Bottom