Ndio maana huijui vzur Mwanza itakuwa ulipitishwa kwenye uchafu....Sasa una siku nne zoezi la usafi limeanza lini? Maana sio rahisi kusafsha mazingra kwa siku moja? Taa za barabaran unaongelea njia ipi?
Mkuu mbona hapo makambako stendi Pana kesha hadi asubuh kikubwa ukate tu ticket ya kurud kssho ... hpo kuna moto saf na story nzur tu utalala kwenye gari kesho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.