Pole sana kwa kuuguza Mungu aendelee kukusimamia.
Hongera kwa kuwa wazi na kujieleza vema ,Maombi yangu kwako Mungu na azidi kukutangulia katika shughuli zako na akufungulie kwenye hitajio hili ulikamilishe.
Mkuu,
Rudi kwenye lengo lako au sababu ya nini kilikufanya hata ukaenda kufanya interview kwingine ilihali una kazi tayari,
Ukishajua unapaswa kukumbuka mwisho wa siku ni wewe ndio mwenye kuyashuhudia matokeo yeyote utakayoyaamua kwa sababu umeyaishi vema mazingira yako na unajua mazuri na...
Mkuu Habari ,
Kwanza pole sana kwa yale unayopitia na pia nikupongeze kwa ujasiri wa kutushirikisha katika jukwaa hili.
Tambua kuwa kitendo cha kushirikisha ni njia mojawapo ya kuondoa yanayosumbua moyo.
Kabla ya kusema chochote ,Napenda nijue tukio la usaliti lilitokea lini na hadi...
Mkuu
Bado una nafasi ya kuacha ,
Jitahidi kupunguza taratibu kwani hatua uliyonayo ni vizuti kujipongeza.
Ili uache unapaswa kuamua mwenyewe kwa kusema na nafsi yako,Hasa kwa kutazama ni jinsi gani inakunufaisha au kukwamisha yale ambayo ni ya muhimu kwako.
Jisamehe,
Jisamehe juu ya yote...
Cha kwanza ni kukubali kuwa wewe ndio Unapitia hali hiyo
Cha pili ni kuwekekeza nguvu nyingi kwenye kuishi MAISHA YAKO na si maisha ya wengine.
Siku zote jilinganishe na wewe mwenyewe ulivokua jana ,leo na jinsi gani utakuwa bora wa kesho.
Tatu ,Ikiwezekana jipe muda kwa kujitoa kwenye...
Habari Wakuu,
Kila mmoja anatafuta nini afanye kudumu kwenye penzi haijalishi ni ndoa au mahusiano ya kawaida.
Ukweli ambao inawezekana hatuujui ni kuwa ,HAKUNA kanuni maalum ya kulinda penzi lako ila tu ile ambayo utajipangia mwenyewe.
Asikudanganye mtu anavoishi na mkewe au mumewe eti nawe...
Kuna chuo Mwenge hapo kinaitwa Victory ni wakongwe na unaweza chagua muda ambao kwako ni rafiki kwenda ikiwa ni asubuh sana au jioni shukia kituo kinaitwa Lufungila.
Kuhusu leseni ,Ukikamilisha mafunzo yako utaelekezwa vizuri kabisa hapo chuoni nini ufanye.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.