Recent content by The Worst

  1. The Worst

    JamiiForums Tanzania Umaarufu wa bi mkubwa kulikoni

    Ukianza na mimi sijuagi hata kama hii nchi ina raisi,maana naona kama najiongoza mwenyewe hata nikiangalia wanaonizunguka wapo hivyo hivyo.
  2. The Worst

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kabla hujamuoa single Mother jitahidi mjue aliyezaa naye. Kama amekuzidi kipato sitisha mahusiano haraka. Sababu ni hizi;

    Mimi toka nilipokutana na hii meme...... Hao wanaoitwa single mama sitaki hata kuwasikia maana ni kwere!
  3. The Worst

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Single Mother ananilazimisha kulipa ada ya mwanaye

    Malizia “kabla hujapiga buyu”
  4. The Worst

    JamiiForums Tanzania Hapa ndipo unajua wamagharibi wakisema ugaidi wanamaanisha ni Uislamu

    Samahani,mimi siyaelewi sana haya mambo yenu ila nahisi kinachoufanya Uislamu uonekane umeshiriki kwenye baadhi ya matukio ni kule watendaji wa matukio ya kigaidi kutamka tena kwa sauti kubwa neno “alahu akbar” wakati wakiyatenda. So kama hao waliofanya mauaji msikitini walinena neno lolote...
  5. The Worst

    JamiiForums Tanzania Kama kidume unapojenga nyumba kabla haujavuka miaka 35 unajiona mwamba, ni feeling ya kibabe sana kushinda ile ya kuhimili round moja kwa dakika 10

    But angalao amejitahidi kuwaza,mboni humu wapo wasiofanya hayo na hawajawahi kuja na wazo kama hili? Kuishi kwa shemeji hakumfanyi mtu kukosa ufahamu wa kawaida kama huu.
  6. The Worst

    JamiiForums Tanzania Kama kidume unapojenga nyumba kabla haujavuka miaka 35 unajiona mwamba, ni feeling ya kibabe sana kushinda ile ya kuhimili round moja kwa dakika 10

    Kulala pazuri na hakuna anayekusumbua nayo pia ni furaha,au maisha yako yote utakuwa unalala lodge?
  7. The Worst

    JamiiForums Tanzania Kama kidume unapojenga nyumba kabla haujavuka miaka 35 unajiona mwamba, ni feeling ya kibabe sana kushinda ile ya kuhimili round moja kwa dakika 10

    Sana mkuu ninakuelewa! Kingine kwa usawa huu wa kila kitu kusingisiziwa vita vya Iran kijana under thirty kununua kiwanja hata kama 17x20 ni bonge moja la ujanja me kila siku huwa nawaambia hivi madogo.
  8. The Worst

    JamiiForums Tanzania Sakata la Rio Ferdinand lafika kwa Watangazaji wa Kenya "Tatizo la Watanzania wanaandamana kiroho"

    Jamaa mboni yupo sahihi?tuukubali ukweli. Kipi alichosingizia hapo?nchi ndani ya week tatu mafuta yamepanda mara tatu lakini kimyaa kama hamna kilichotokea.
  9. The Worst

    JamiiForums Tanzania Eti, kuna umri ambao hawaruhisiwi kufanya starehe?

    Ame-mention miaka 45,mboni kama anafanana na mama yangu anayeingia 70 keshokutwa mwezi wa nane! Ujinga tu siku hizi kila mtu anataka kutoa ushauri hata kwa vitu visivyo na akili wala miguu.
  10. The Worst

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijui mpoje?

    Hahah ulihatarisha usalama wa kazi yako!
  11. The Worst

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijui mpoje?

    Siyo wote wanaohama kisa umewakataa kimapenzi wengine hushtuka ulikuwa unawatandika so wamepata chimbo la bei rahisi ndiyo maana huwaoni. Kwanza kumtongoza mwanamke mjasiriamali ni kuhatarisha kipato cha mwanaume maana siku akiambiwa ajazie mtaji 800K anakuwa hana pa kuchomokea na ni kosa...
  12. The Worst

    JamiiForums Tanzania Zungu: Watanzania wa sasa hivi hawajui nchi hii ilipotoka. Tunajidharau lakini mataifa ya nje wanatupongeza

    Ulichokiandika hapa huoni kinasadifu kwamba wewe ndiye unaetapeliwa na ccm?au hujahariri maandishi yako kabla hujayarusha humu?
  13. The Worst

    JamiiForums Tanzania Zungu: Watanzania wa sasa hivi hawajui nchi hii ilipotoka. Tunajidharau lakini mataifa ya nje wanatupongeza

    Mtu kama Tlaatlaah kichwa debe tupu kupongeza tu hata ujinga,ona ujinga alioandika post#4
  14. The Worst

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya Ndoa ni ya kutatuliwa kwenye ziara za Waziri Mkuu?

    Ktk kitu baadhi yetu wanaume tunakosea ni kuwadharau wake zetu waliotuvumilia kipindi tukiwa chini,japo hii inaweza kuwa story ya upande mmoja but ni mambo yapo yanatokea. Hakuna kitu kizuri dunia hii kama kufurahia mafanikio yako na mliotoka wote chini hasa anapokuwa mke.
  15. The Worst

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Kushiriki Mkutano wa Nishati ya Nyuklia, Rwanda

    Udaktari wake anatibugi nini huyu mama?na mbona tukiuliza hatupati majibu yanayoeleweka?
Back
Top Bottom