Recent content by The Worst

  1. The Worst

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa kupenda big nyanshi unanimaliza; Kila nikipanga kumwacha ananitegea nyanshi, tunaanza upya😌😌

    Kuna siku alikuja na uzi wake hapa kuomba ushauri fungus katikati ya mapaja zinammaliza labda sasa zimehamia na kichwani labda.
  2. The Worst

    JamiiForums Tanzania Pakistan: Mchoma matofali mkristo achinjwa baada ya kunywa maji katika chombo wanachotumia wafanyakazi wenzake waislam

    Ningekuwaga huko nisinge-survive ningekuwa nimeshahama kitambo sana.
  3. The Worst

    JamiiForums Tanzania Pakistan: Mchoma matofali mkristo achinjwa baada ya kunywa maji katika chombo wanachotumia wafanyakazi wenzake waislam

    Hizi dini hizi ngapi mkuu dini kirusi duniani inajulikana ni dini gani hizo nyengine ukiacha kule kujitenga namna ya kuabudu hazina mambo haya ya kuuana na kuacha wajane na watoto ktk mazingira magumu kama tuliyoyasoma hapa.
  4. The Worst

    JamiiForums Tanzania Harusi meza kuu bibi harusi hakuna baba wala baba wadogo. Mabinti hamuoni aibu

    Hulka ya binadamu labda alitaka na hapa jukwaani watu washangae pamoja naye ila deal limeenda wrong kidogo.
  5. The Worst

    JamiiForums Tanzania Isaya Yunge, Kijana kutoka Mwanza, anamuoa binti wa Rais wa Kenya, Charlene Ruto, Hii hapa Cv Yake

    Mwisho wa siku kwenye ndoa vyote hivyo vitawekwa pembeni vibaki viwili tu vya kuzaliwa navyo hekima na busara ya kumu-handle mtu mzima mwenzake mwenye meno 32 waliyekutana ukubwani.
  6. The Worst

    JamiiForums Tanzania Harusi meza kuu bibi harusi hakuna baba wala baba wadogo. Mabinti hamuoni aibu

    JamiiForums usijichanganye uanzishe mada halafu commenter wa kwanza akaenda against na mawazo yako alooh maji utaita mma. Kinachoendelea kwenye huu uzi kinatokana na aliyetuma post #2 alivyoupokea huu uzi but binafsi mimi naona mleta mada yupo sahihi kushangaa upande wa wakwe kutokuwa na mzazi...
  7. The Worst

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Mleta mada si ungekimbia kwa wakala chap ukaiotoa ukahamia hapo Kenya?
  8. The Worst

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Mwenyewe anaona amejiiificha kumbe yale yale ya Mbuni kuchimbia kichwa chini mavumbini kiwiliwili akikiacha nje.
  9. The Worst

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Nyuma ya pazia: Wanayopitia Waamini wanaofika kwa Mwamposa kwenye makongamano ya kidini

    Kwa nini mtume wao asiwarudishie kidogo ktk sadaka alizokusanya kama msaada kwao kwa kuwanunulia vyakula na malazi ili kutimiza yale aliyoyafanya Yesu kuwapa makutano shibe na usiku salama kwenye mikusanyiko?
  10. The Worst

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanaotumia ATM machine kutoa pesa bado hawajui huduma ya kugusa kadi (NFC Reader) kutoa pesa wamezoea njia ya kuchomeka kadi

    Kote nimeelewa ndiyo nikauliza kila kadi ina uwezo huo au ni baadhi ya kadi?
  11. The Worst

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanaotumia ATM machine kutoa pesa bado hawajui huduma ya kugusa kadi (NFC Reader) kutoa pesa wamezoea njia ya kuchomeka kadi

    Binafsi (kutokujua siyo ushamba) nilikuwa silijui hili ndiyo jamaa amenitoa tongotongo leo. Kwa hiyo mleta mada nitajuaje kadi yangu ina uwezo wa kufanya hivyo,tukizingatia atm card za NMB?
  12. The Worst

    JamiiForums Tanzania Kalapina ampondea Sugu

    Wewe unatuharibia uzi na hii inadhihirisha huna unachokijua kwenye industry! Uzi ulikuwa unashuka vizuri watu tunapata elimu lakini wewe kwa kushindwa kwako kutambua kwamba hauwezi ukajua kila kitu kuna ambavyo unavijua na kuna ambavyo huvijui unaishia kutukana hovyo kwa kukosa hoja.
  13. The Worst

    JamiiForums Tanzania Kwa heshima na taadhima, naomba uiangalie hii video hadi mwisho

    Huyu jamaa uliyem-quote hapa siku za mwanzo mwanzo baada ya uchaguzi na mauaji yale alikuwa kwa siku anaanzisha threads siyo chini ya tatu kumsifia huyu mama na kuwasema waliouawa kwamba walikuwa wezi! Hilo la dini hasa ndiyo lililokuwa linamsukuma kuongea ujinga.
  14. The Worst

    JamiiForums Tanzania KERO Mwanajeshi mstaafu afunga barabara ya mtaa akidai ni kiwanja chake

    Kuna kitu kinaitwa mipango miji ukiitizama hiyo picha mbele kule kuna watu zaidi ya mmoja wanahitaji barabara so kisheria hapo atake asitake lazima atoe barabara. Ingekuwa ni mtu mmoja tu anahitaji hiyo njia angeweza kufanya hivyo ila hapo wahitaji ni wengi ni vile tu hawa watu wakishakuwa...
Back
Top Bottom