Hakika hii ni kweli kabisa.
Maana tulio nje yao tunawashangaa waliopo humo huku waliopo wakijiona wapo sehemu sahihi kabisa,siyo na ajabu inahitaji nguvu ya ziada kujitoa.
Nimeona hapo juu kuna sehemu imesemwa mama kutokana na shughuli zake za kilimo na biashara atachangia matumizi mengine na ada labda mahakama iliona mama ana kipato zaidi ya baba so sehemu kubwa ya ada atai-cover mama!?
Nimewaza hivyo labda.
Mimi sijasoma na sina hulka ya kumdharau mtu ila ninavyoona mazingira nayokutana na wasomi (hasa kwenye office za umma) ndiyo yaliyosababisha wasiosoma kuwadharau wanaojihisi wamefanikiwa sana kupitia kuta nne.
Na hii ilianzia hasa kwenye office za umma huko ndiko wasiosoma sana hukutana na...
Nini shule?!huu mwaka pale Msimbazi Police Station waliingia wezi majira ya 09:40 AM wakaondoka na mishahara ya askari wote wa kituo.
Hiyo miaka ilikuwa haangaliwi anaibiwa nani bali walikuwa wanaangalia kilichopo popote pale alimradi pana kitu.
Hizi dini hizi ngapi mkuu dini kirusi duniani inajulikana ni dini gani hizo nyengine ukiacha kule kujitenga namna ya kuabudu hazina mambo haya ya kuuana na kuacha wajane na watoto ktk mazingira magumu kama tuliyoyasoma hapa.
Mwisho wa siku kwenye ndoa vyote hivyo vitawekwa pembeni vibaki viwili tu vya kuzaliwa navyo hekima na busara ya kumu-handle mtu mzima mwenzake mwenye meno 32 waliyekutana ukubwani.
JamiiForums usijichanganye uanzishe mada halafu commenter wa kwanza akaenda against na mawazo yako alooh maji utaita mma.
Kinachoendelea kwenye huu uzi kinatokana na aliyetuma post #2 alivyoupokea huu uzi but binafsi mimi naona mleta mada yupo sahihi kushangaa upande wa wakwe kutokuwa na mzazi...
Kwa nini mtume wao asiwarudishie kidogo ktk sadaka alizokusanya kama msaada kwao kwa kuwanunulia vyakula na malazi ili kutimiza yale aliyoyafanya Yesu kuwapa makutano shibe na usiku salama kwenye mikusanyiko?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.