Recent content by The Worst

  1. The Worst

    Kwanini 'Wajinga' wanatoboa kimaisha haraka kuliko sisi 'Great Thinkers’?

    Siyo mwenye akili nyingi sema aliyekaririshwa mawazo ya ambao walifel kama yeye wakajikusanya kijikundi mahali wakatunga walichokiita maarifa wakawauzia watu ndiyo tunayoishi nayo hadi leo La saba B anayesaini cheque ya 50mill huku mtaani anazungusha zaidi ya mill 500 na PhD holder anayezurura...
  2. The Worst

    Balozi Mulamula: Nitamkumbuka Lukuvi kwa malezi yake Bungeni, kifo chake ni pigo kubwa kwa Taifa

    Kifo chake ni pigo kwa taifa labda taifa la nyumbani kwake mkewe vimada na anaowajua mwenyewe lukuvi
  3. The Worst

    Watu 24 wafakiri Pakistan baada ya basi kutumbukia kwenye mto Rajbari

    Wakati mgumu sana kwa waliokuwa kwenye bus na waliokuwa wanaangalia chuma ikitumbukia,yaani hapo mlio nje mtatamani hata mlishike na vidole lisitumbukie.
  4. The Worst

    Ratiba ya msiba wa William Lukuvi. Mazishi kuongozwa na Rais Samia

    Kwa hiyo unamlia rada ukampoteze au?
  5. The Worst

    Kihongosi aonya vijana kushangilia vifo

    Asubiri siku yake ifike afe vijana washangilie,ajabu itakuwa zaidi ya wengine kwa sababu aliongea pumba.
  6. The Worst

    Nilifiwa na ndugu yangu lakini Ile sehemu ya kushea maiti pale mochwari palikuwa na shanga nyingi sana

    Nadhani huwa wanaenda kuziuza tena in short mali za marehemu waliokufa ghafla kwa ajali kudondoka ghafla etc huwa wanazuia wahudumu wa mochwari. Vitu kama saa,cheni hereni pete jamaa wanabeba.binamu yangu alifariki ndani kwake mwaka 2006 alikuwa amevaa saa yake Seiko 5 ya gold toka anatolewa...
  7. The Worst

    Tukutane tunaomiliki magofu kwa ajili ya kufarijiana

    Usiwaze kiongozi,Mungu ataleta neema utahamia. Kingine bado mapema sana kuanza kuhesabu miaka mimi lilikaa miaka 7 (2011-2018) bila kugusa chochote na sijawahi kuihesabu.
  8. The Worst

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Mimi hayo ya kustaafishana hayanihusu nachotaka kujua nimesikia hapo akitamkwa mtu kama daktari sa100,ni dokta wa nini huyo sa100 tuelimishane kidogo.
  9. The Worst

    Mwenye uzoefu na hili naomba msaada

    Hawawezi kuandika kila kitu vingine unajiongeza mwenyewe,waandike wazi inashusha hamu ya ngono watamuuzia nani na wanajua hakuna mwanaume asiyependa kuipoteza hiyo hali na wanaume ndiyo wanaopata vipara?
  10. The Worst

    Kuhusu nafasi ya urais wa Tanzania 2030-2040 tayari CCM tunae kiongozi

    Tlaatlaah umeshapata jibu kuhusu dada zako kutojisafisha mitaro?
  11. The Worst

    Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    Aina za akili za wateuliwa wa samia,ukute huyu ni mchengerwa anamiliki hii Id. Hovyo kabisa yaani kaingia ofisini kawasha WiFi cha kwanza alichoona cha maana kuanza nacho siku ni mitaro ya wanawake.
  12. The Worst

    Unafanyaje usafi wako wa mwili?

    Mara ya mwisho kumkabidhi mwenza asaidie usafi mazingira ali... Halafu akaniuliza Ashura ni nani kwako?
  13. The Worst

    Kifo cha William Lukuvi na Jenista Muhagama. Ni fumbo kubwa linalotakiwa kufumbuliwa, Who is Next?

    Siyo kweli kivipi mkuu? Sawa tuseme asingetakiwa kufa kwa shinikizo la damu,wewe ulikuwa una-suggest nini kimuue badala ya shinikizo?
Back
Top Bottom