Hizi dini hizi ngapi mkuu dini kirusi duniani inajulikana ni dini gani hizo nyengine ukiacha kule kujitenga namna ya kuabudu hazina mambo haya ya kuuana na kuacha wajane na watoto ktk mazingira magumu kama tuliyoyasoma hapa.
Mwisho wa siku kwenye ndoa vyote hivyo vitawekwa pembeni vibaki viwili tu vya kuzaliwa navyo hekima na busara ya kumu-handle mtu mzima mwenzake mwenye meno 32 waliyekutana ukubwani.
JamiiForums usijichanganye uanzishe mada halafu commenter wa kwanza akaenda against na mawazo yako alooh maji utaita mma.
Kinachoendelea kwenye huu uzi kinatokana na aliyetuma post #2 alivyoupokea huu uzi but binafsi mimi naona mleta mada yupo sahihi kushangaa upande wa wakwe kutokuwa na mzazi...
Kwa nini mtume wao asiwarudishie kidogo ktk sadaka alizokusanya kama msaada kwao kwa kuwanunulia vyakula na malazi ili kutimiza yale aliyoyafanya Yesu kuwapa makutano shibe na usiku salama kwenye mikusanyiko?
Binafsi (kutokujua siyo ushamba) nilikuwa silijui hili ndiyo jamaa amenitoa tongotongo leo.
Kwa hiyo mleta mada nitajuaje kadi yangu ina uwezo wa kufanya hivyo,tukizingatia atm card za NMB?
Wewe unatuharibia uzi na hii inadhihirisha huna unachokijua kwenye industry!
Uzi ulikuwa unashuka vizuri watu tunapata elimu lakini wewe kwa kushindwa kwako kutambua kwamba hauwezi ukajua kila kitu kuna ambavyo unavijua na kuna ambavyo huvijui unaishia kutukana hovyo kwa kukosa hoja.
Huyu jamaa uliyem-quote hapa siku za mwanzo mwanzo baada ya uchaguzi na mauaji yale alikuwa kwa siku anaanzisha threads siyo chini ya tatu kumsifia huyu mama na kuwasema waliouawa kwamba walikuwa wezi!
Hilo la dini hasa ndiyo lililokuwa linamsukuma kuongea ujinga.
Kuna kitu kinaitwa mipango miji ukiitizama hiyo picha mbele kule kuna watu zaidi ya mmoja wanahitaji barabara so kisheria hapo atake asitake lazima atoe barabara.
Ingekuwa ni mtu mmoja tu anahitaji hiyo njia angeweza kufanya hivyo ila hapo wahitaji ni wengi ni vile tu hawa watu wakishakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.