Samahani,mimi siyaelewi sana haya mambo yenu ila nahisi kinachoufanya Uislamu uonekane umeshiriki kwenye baadhi ya matukio ni kule watendaji wa matukio ya kigaidi kutamka tena kwa sauti kubwa neno “alahu akbar” wakati wakiyatenda.
So kama hao waliofanya mauaji msikitini walinena neno lolote...
But angalao amejitahidi kuwaza,mboni humu wapo wasiofanya hayo na hawajawahi kuja na wazo kama hili?
Kuishi kwa shemeji hakumfanyi mtu kukosa ufahamu wa kawaida kama huu.
Sana mkuu ninakuelewa!
Kingine kwa usawa huu wa kila kitu kusingisiziwa vita vya Iran kijana under thirty kununua kiwanja hata kama 17x20 ni bonge moja la ujanja me kila siku huwa nawaambia hivi madogo.
Jamaa mboni yupo sahihi?tuukubali ukweli.
Kipi alichosingizia hapo?nchi ndani ya week tatu mafuta yamepanda mara tatu lakini kimyaa kama hamna kilichotokea.
Ame-mention miaka 45,mboni kama anafanana na mama yangu anayeingia 70 keshokutwa mwezi wa nane!
Ujinga tu siku hizi kila mtu anataka kutoa ushauri hata kwa vitu visivyo na akili wala miguu.
Siyo wote wanaohama kisa umewakataa kimapenzi wengine hushtuka ulikuwa unawatandika so wamepata chimbo la bei rahisi ndiyo maana huwaoni.
Kwanza kumtongoza mwanamke mjasiriamali ni kuhatarisha kipato cha mwanaume maana siku akiambiwa ajazie mtaji 800K anakuwa hana pa kuchomokea na ni kosa...
Ktk kitu baadhi yetu wanaume tunakosea ni kuwadharau wake zetu waliotuvumilia kipindi tukiwa chini,japo hii inaweza kuwa story ya upande mmoja but ni mambo yapo yanatokea.
Hakuna kitu kizuri dunia hii kama kufurahia mafanikio yako na mliotoka wote chini hasa anapokuwa mke.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.