Siyo mwenye akili nyingi sema aliyekaririshwa mawazo ya ambao walifel kama yeye wakajikusanya kijikundi mahali wakatunga walichokiita maarifa wakawauzia watu ndiyo tunayoishi nayo hadi leo
La saba B anayesaini cheque ya 50mill huku mtaani anazungusha zaidi ya mill 500 na PhD holder anayezurura...
Wakati mgumu sana kwa waliokuwa kwenye bus na waliokuwa wanaangalia chuma ikitumbukia,yaani hapo mlio nje mtatamani hata mlishike na vidole lisitumbukie.
Nadhani huwa wanaenda kuziuza tena in short mali za marehemu waliokufa ghafla kwa ajali kudondoka ghafla etc huwa wanazuia wahudumu wa mochwari.
Vitu kama saa,cheni hereni pete jamaa wanabeba.binamu yangu alifariki ndani kwake mwaka 2006 alikuwa amevaa saa yake Seiko 5 ya gold toka anatolewa...
Usiwaze kiongozi,Mungu ataleta neema utahamia.
Kingine bado mapema sana kuanza kuhesabu miaka mimi lilikaa miaka 7 (2011-2018) bila kugusa chochote na sijawahi kuihesabu.
Hawawezi kuandika kila kitu vingine unajiongeza mwenyewe,waandike wazi inashusha hamu ya ngono watamuuzia nani na wanajua hakuna mwanaume asiyependa kuipoteza hiyo hali na wanaume ndiyo wanaopata vipara?
Aina za akili za wateuliwa wa samia,ukute huyu ni mchengerwa anamiliki hii Id.
Hovyo kabisa yaani kaingia ofisini kawasha WiFi cha kwanza alichoona cha maana kuanza nacho siku ni mitaro ya wanawake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.