Ikiwa wote wanasoma wanaelewa mimi nadhani hakuna shida.
Mwenye vitabu 73 asome vimtoshe mwenye 66 hivyo hivyo asome vyake vimtoshe mwenye 100 au 30 asome in short hakuna anayeweza kumlazimisha mtu kuingiza materials kichwani ambazo anaona hana haja nazo.
Kwanini?wana nini au walikufanya nini?
Anyway ni kama Mkatoliki umwambie leo akanunue maji au udongo kwa 100K kutoka kwa mchungaji hawezi kuelewa hilo jambo so sikulaumu.
Hapo jua ni kali kiangazi kikali jua nalo ni kali still wamejifunika gubigubi minguo myeusi kwanini?
Kingine huyo ni mwanaume harakati zetu ni nyingi mwanaume kutoonekana siku mbili au tatu isiamshe taharuki atarudi tu huyo jamaa waache presha na kama alivyosema mmoja wao hapo kwamba alikuwa...
Cha kwanza usalama,juzi Mbeya walimuua dada wakala wakaondoka na laki tatu tu,yaan posho ya siku moja ya baba levo pale bungeni imemuondoa binti wa miaka 34.
Mengine watajazia wadau
Lakini uwongo mbaya hao wana haki ya kuzodolewa,yaani wamekaa South miaka 20 wamepandishwa ndege bure but hawana Tsh 700 ya kuwafikisha hapo kariakoo ili wasogee kwao Magomeni na Manzese kwa miguu ?
Malaya wote hawa waliojaa Dar na Zanzibar unapata wapi tamaa ya kulazimisha uume wako kwa mtoto wa miaka 14?
Matatizo mengine ni ya kujitakia tu maku siku hizi zipo hadi za mafungu jero jero unashusha uzito unatembea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.