Recent content by The Worst

  1. The Worst

    JamiiForums Tanzania Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa Kanisa Katoliki?

    Shida gani? Wewe ukisoma cha kwako haukielewi?
  2. The Worst

    JamiiForums Tanzania Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa Kanisa Katoliki?

    Somo la leo lilikuwa zuri sana. Kufundishana umuhimu wa msamaha ni jambo jema sana maana hakuna asiyestahili msamaha.
  3. The Worst

    JamiiForums Tanzania Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa Kanisa Katoliki?

    Ikiwa wote wanasoma wanaelewa mimi nadhani hakuna shida. Mwenye vitabu 73 asome vimtoshe mwenye 66 hivyo hivyo asome vyake vimtoshe mwenye 100 au 30 asome in short hakuna anayeweza kumlazimisha mtu kuingiza materials kichwani ambazo anaona hana haja nazo.
  4. The Worst

    JamiiForums Tanzania Kuna upepo wa prominent Protestant converting to Catholicism! Nini kinatokea?

    Kwanini?wana nini au walikufanya nini? Anyway ni kama Mkatoliki umwambie leo akanunue maji au udongo kwa 100K kutoka kwa mchungaji hawezi kuelewa hilo jambo so sikulaumu.
  5. The Worst

    JamiiForums Tanzania Rambirambi zigawanywe kwa Wajane wote kwa usawa

    Jidanganye hivyo hivyo,njaa haijawahi kuwa na dini penye njaa kukiwa na cha kugombania kitagombaniwa bila kujali hizo itikadi.
  6. The Worst

    JamiiForums Tanzania Rambirambi zigawanywe kwa Wajane wote kwa usawa

    Si ndiyo mke mkubwa alikuwa? Mkubwa ni mkubwa tu hatutegemei hao wengine wafanane nae kimaumbile.
  7. The Worst

    JamiiForums Tanzania Tabora: Polisi waanza kumsaka Mwalimu wa Madrasa mume wa wake watatu na baba wa watoto 17 ambaye ametoweka na kuacha familia yake ikiteseka

    Kwa hiyo unataka kusemaje mkuu! Kwamba hao watoto siyo wake ni wanafunzi wa madrasa?kuna watu wananyoosha goti mjomba.
  8. The Worst

    JamiiForums Tanzania Tabora: Polisi waanza kumsaka Mwalimu wa Madrasa mume wa wake watatu na baba wa watoto 17 ambaye ametoweka na kuacha familia yake ikiteseka

    Wewe ona tu hapo mazingira nyumba moja watoto 17 wake watatu,nadhani humo match zinachezwa silenced maana ni hatari.
  9. The Worst

    JamiiForums Tanzania Tabora: Polisi waanza kumsaka Mwalimu wa Madrasa mume wa wake watatu na baba wa watoto 17 ambaye ametoweka na kuacha familia yake ikiteseka

    Hapo jua ni kali kiangazi kikali jua nalo ni kali still wamejifunika gubigubi minguo myeusi kwanini? Kingine huyo ni mwanaume harakati zetu ni nyingi mwanaume kutoonekana siku mbili au tatu isiamshe taharuki atarudi tu huyo jamaa waache presha na kama alivyosema mmoja wao hapo kwamba alikuwa...
  10. The Worst

    JamiiForums Tanzania NATAKA KUANZA BIASHARA YA UWAKALA WA FEDHA – NAOMBA USHAURI WA WENYE UZOEFU

    Cha kwanza usalama,juzi Mbeya walimuua dada wakala wakaondoka na laki tatu tu,yaan posho ya siku moja ya baba levo pale bungeni imemuondoa binti wa miaka 34. Mengine watajazia wadau
  11. The Worst

    JamiiForums Tanzania Mawaziri SMZ Wafariji Rais Samia Kizimkazi

    Basi kwa akili zake anaweza akatamani adondoke mwengine ili aendelee kusujudiwa na mizee yenye ndevu kila upande !
  12. The Worst

    JamiiForums Tanzania Unyanyapaa Kwa Watanganyika waliorudishwa kutoka South Africa ni tendo la kipumbavu

    Lakini uwongo mbaya hao wana haki ya kuzodolewa,yaani wamekaa South miaka 20 wamepandishwa ndege bure but hawana Tsh 700 ya kuwafikisha hapo kariakoo ili wasogee kwao Magomeni na Manzese kwa miguu ?
  13. The Worst

    JamiiForums Tanzania Kiingereza kweli ni ngumu! Mtangazaji wa Crown FM apata homa akiwa anawahoji wageni waliomshtukiza studio

    Na ubaya zaidi siyo kwamba anayekusemesha haumwelewi unakuta unamwelewa kabisa na akili inakupa jibu la kumpa ila sasa fungua huo mdomo uone!
  14. The Worst

    JamiiForums Tanzania Mfanyakazi wa meli ya Azam Sealink namba 2 atuhumiwa kumbaka mtoto wa miaka 14 ndani ya meli hiyo ikiwa safarini usiku

    Malaya wote hawa waliojaa Dar na Zanzibar unapata wapi tamaa ya kulazimisha uume wako kwa mtoto wa miaka 14? Matatizo mengine ni ya kujitakia tu maku siku hizi zipo hadi za mafungu jero jero unashusha uzito unatembea.
  15. The Worst

    JamiiForums Tanzania Kutokujua Kingereza kumeongeza ujinga na uduni wa fikra kwa Watanzania

    Shukrani sana mkuu! Hii nayo nitaizingatia
Back
Top Bottom