Recent content by The Worst

  1. The Worst

    JamiiForums Tanzania Pakistan: Mchoma matofali mkristo achinjwa baada ya kunywa maji katika chombo wanachotumia wafanyakazi wenzake waislam

    Hakika hii ni kweli kabisa. Maana tulio nje yao tunawashangaa waliopo humo huku waliopo wakijiona wapo sehemu sahihi kabisa,siyo na ajabu inahitaji nguvu ya ziada kujitoa.
  2. The Worst

    JamiiForums Tanzania Haki ya Mtoto Kutunzwa na Wazazi Wote Wawili Baada ya Utengano – Funzo Kutoka Mahakama Kuu ya Tanzania

    Nimeona hapo juu kuna sehemu imesemwa mama kutokana na shughuli zake za kilimo na biashara atachangia matumizi mengine na ada labda mahakama iliona mama ana kipato zaidi ya baba so sehemu kubwa ya ada atai-cover mama!? Nimewaza hivyo labda.
  3. The Worst

    JamiiForums Tanzania EWURA - Vifurushi vya internet na muda wake

    Inaonekana mdau ana shida nao wote sasa kesi ya kichwa kapasua mguu ya mguu anatarajia kupasua kichwa.
  4. The Worst

    JamiiForums Tanzania Matusi kwa Wasomi ni Ushindi au Chuki zilizozikwa kwa muda mrefu?

    Mimi sijasoma na sina hulka ya kumdharau mtu ila ninavyoona mazingira nayokutana na wasomi (hasa kwenye office za umma) ndiyo yaliyosababisha wasiosoma kuwadharau wanaojihisi wamefanikiwa sana kupitia kuta nne. Na hii ilianzia hasa kwenye office za umma huko ndiko wasiosoma sana hukutana na...
  5. The Worst

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka tukio la majambazi kuvamia Pugu Secondary mwaka 2003?

    Nini shule?!huu mwaka pale Msimbazi Police Station waliingia wezi majira ya 09:40 AM wakaondoka na mishahara ya askari wote wa kituo. Hiyo miaka ilikuwa haangaliwi anaibiwa nani bali walikuwa wanaangalia kilichopo popote pale alimradi pana kitu.
  6. The Worst

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Dudu Baya anapendwa sana na watu hapa Bongo?

    Hivi jana huyu mjomba hakupiga buyu kweli huyu?
  7. The Worst

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa kupenda big nyanshi unanimaliza; Kila nikipanga kumwacha ananitegea nyanshi, tunaanza upya😌😌

    Kuna siku alikuja na uzi wake hapa kuomba ushauri fungus katikati ya mapaja zinammaliza labda sasa zimehamia na kichwani labda.
  8. The Worst

    JamiiForums Tanzania Pakistan: Mchoma matofali mkristo achinjwa baada ya kunywa maji katika chombo wanachotumia wafanyakazi wenzake waislam

    Ningekuwaga huko nisinge-survive ningekuwa nimeshahama kitambo sana.
  9. The Worst

    JamiiForums Tanzania Pakistan: Mchoma matofali mkristo achinjwa baada ya kunywa maji katika chombo wanachotumia wafanyakazi wenzake waislam

    Hizi dini hizi ngapi mkuu dini kirusi duniani inajulikana ni dini gani hizo nyengine ukiacha kule kujitenga namna ya kuabudu hazina mambo haya ya kuuana na kuacha wajane na watoto ktk mazingira magumu kama tuliyoyasoma hapa.
  10. The Worst

    JamiiForums Tanzania Harusi meza kuu bibi harusi hakuna baba wala baba wadogo. Mabinti hamuoni aibu

    Hulka ya binadamu labda alitaka na hapa jukwaani watu washangae pamoja naye ila deal limeenda wrong kidogo.
  11. The Worst

    JamiiForums Tanzania Isaya Yunge, Kijana kutoka Mwanza, anamuoa binti wa Rais wa Kenya, Charlene Ruto, Hii hapa Cv Yake

    Mwisho wa siku kwenye ndoa vyote hivyo vitawekwa pembeni vibaki viwili tu vya kuzaliwa navyo hekima na busara ya kumu-handle mtu mzima mwenzake mwenye meno 32 waliyekutana ukubwani.
  12. The Worst

    JamiiForums Tanzania Harusi meza kuu bibi harusi hakuna baba wala baba wadogo. Mabinti hamuoni aibu

    JamiiForums usijichanganye uanzishe mada halafu commenter wa kwanza akaenda against na mawazo yako alooh maji utaita mma. Kinachoendelea kwenye huu uzi kinatokana na aliyetuma post #2 alivyoupokea huu uzi but binafsi mimi naona mleta mada yupo sahihi kushangaa upande wa wakwe kutokuwa na mzazi...
  13. The Worst

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Mleta mada si ungekimbia kwa wakala chap ukaiotoa ukahamia hapo Kenya?
  14. The Worst

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Mwenyewe anaona amejiiificha kumbe yale yale ya Mbuni kuchimbia kichwa chini mavumbini kiwiliwili akikiacha nje.
  15. The Worst

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Nyuma ya pazia: Wanayopitia Waamini wanaofika kwa Mwamposa kwenye makongamano ya kidini

    Kwa nini mtume wao asiwarudishie kidogo ktk sadaka alizokusanya kama msaada kwao kwa kuwanunulia vyakula na malazi ili kutimiza yale aliyoyafanya Yesu kuwapa makutano shibe na usiku salama kwenye mikusanyiko?
Back
Top Bottom