Karibu Christina na Mimi ni mtumishi bachelor tutengeneze familia. Nitakujali sana sitakunyanyasa na nitakusapoti kutoa huduma ili mradi na Mimi unihudumie.
Kwa hiyo Ummy yupo kwenye uwaziri sababu ya kula? Na siyo kumsaidia Raisi na wananchi kuendesha sekta ya afya kwa weledi na manufaa. Ili kulinda siha za watanzania wote!?. Mawazo mgando Kama tope la mbugani.
Hapa serikali pia ijitafakari kupora fedha za NHIF kupeleka kwenye activities nyingine. Matokeo ndiyo haya. Pia management ya NHIF ivunjwe na waziri wa afya atumbuliwe hana uhalali was kuwa hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.