Hizi ni siasa za kitoto sana. Hivi tunajenga nchi ya CCM au Watanzania bila kujali vyama na itikadi zao? Alichokifanya mkuu wa mkoa wa Arusha ni utoto wa chekechea. Upuuzi mtupu. Na kama hili ndilo lengo la chama cha CCM, basi wayafanyayo ni UJIMA!!!
Police kuwatisha wanainchi ni upuuzi na uwendawazimu. Haki ya mtu siyo swala la pendekezo la yeyote. Hii ni haki ya kulaliwa. Rais kuvunja Katiba na kufanya yake halikubaliki. Maigizo ya Police ni mbwembwe tu za kumfurahisha mfalme juha, na mwisho wa siku cheusi kitakuwa cheusi na cheupe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.