Wadau ,.kama ilivo ada ni lazima watu wale,..nauliza ni nafaka zipi zenye faida na uhitaji,..
Yaani nafaka zinazouzika kwa sana,..pamoja na mikoa husika
Web 3 ni neno linalotumika kuelezea hatua ya tatu ya maendeleo ya mtandao ambayo inatarajiwa kubadilisha jinsi tunavyotumia intaneti. Ili kuelewa Web 3, hebu tuchukue hatua nyuma kidogo na tuangalie historia fupi ya mtandao.
Web 1.0 ilikuwa "mtandao wa kusoma tu" miaka ya 1990 hadi 2000...
Jaman watanzania nahamasisha muamko katika teknolojia ya masjala mtawanyiko(blockchain technology ) kwa sababu kuna baadh ya nchi za Afrika zimepiga hatua katika hii teknolojia na zinaitumia katika ustaw wa Jamii na nchi zao,..
Nchi kama Kenya, .Ghana, Nigeria na kadhalika zimesharasimisha...
Daah kwel kazi ipo...hivi masjala ya kuhifadhi taarifa zako nayo ni ya matajir au maskin...hiyo si ya kila mtu,...
Kwel Tanzania tupo nyuma Sana kiteknolojia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.