Kama membe wenu angekuwa na ushawishi anaowaaminisha hako kakikundi kake kule mtama.
Kwa nini asigombee kupitia chama chochote kile kama unapendwa unavyojinasbisha mbona usiwe shujaa.
Halafu mgombea ni wewe ila kauli zako unadai sisi, je wewe na watu gani wazungu?
Mjotathmini sana kabla watanzania hawajatathmini wao, na yasijewakuta yaliyowakuta kwa kufukuzwa mwanza na wananchi wakati mkizunguka na maiti ya marehemu A,mawazo.
Ina maana corona isipoisha uchaguzi hauwezi kufanyika Afrika.
Mbona hao wazungu huko Amerika wameanza kampeni tena pandemic ikiwa juu!
Acheni ushamba aisee!
Mnakurupuka kuilaumu serikali wakati ni Mmiliki wa hotel na kampuni yake ya ulinzi anaitwa Minja na amesema huyu jamaa ndio anatembeza fweza kwa askari njaa na wanaharibu ametaja kwa kudokoa nyaraka muhimu.
Amemtaja mkuu wa kituo cha polisi majengo.
Pia ametaja na uongozi wa polisi mkoani...
Huku mnasema mnajiamini, huku mnaweweseka CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO (chadema)
Mmekuwaje mbona mmekata tamaa dakika za mwanzo.
Hayo yote uliyotaja kwa ujumla ndio yalikuwa matatizo ya nchi yetu, ukiongeza na hili la wimbi la wanasiasa wapiga deal!
Mnajaribu kuichonganisha serikali ya awamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.