Hili swala la mguu wa bia sijui mguu wa soda nadhani lina ubusiano mkubwa na lishe. Walisheni watoto vyakula vyenye protini nyingi hakuna mtu asiye na mguu wa bia mchawi ni lishe duni.
1. Makamu wa Rais Dr. Nchimbi yupo Unguja ana zuunguka kuwajulia hali wastaafu.
2. Mzee wa Msoga yupo Pemba anafungua jengo la zimamoto.
3. Nadhani Rais naye bado ofisi ndogo ya Ikulu Tungu.
Anyway ngoja niagize Pop corn nifuatilie kwa ukaribu hizi ziara 😃
The sun over Dar es Salaam was a relentless, burning eye, but it was nothing compared to the fire in Mange Kimambi’s heart. In a nation where the political landscape was often painted in monochrome, she had chosen to wield a brush of every color, and her canvas was the airwaves.
It did not...
Asalaam Aleykum!!
Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kama Waziri Mkuu Msaidizi August 23, 2023 ulizua mjadala mpana kuhusiana na mstakabali wa Waziri Mkuu wa Sasa Mh. Kassim Majaliwa.
Duru za kisiasa zinadokeza kuwa Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko ulikuwa ni mkakati mahsusi wa kumuandaa na kumpa uzoefu ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.