Recent content by the supporter

  1. the supporter

    JamiiForums Tanzania Teknolojia haiwezi kuzuilika, tunakoelekea kutakuwa na simu zinazotumia internet ya satelaiti hata internet ya minara ya mitandao ya simu ikizimwa

    Kwenye hili swala nilisha fanya kautafiti na mpaka sasa Airtel wamesha invest kwenye reseach centers huko nje kwa ajili ya kufanikisha hili zoezi. Ila mambo yana weza yasiwe kama tunavyo waza labda miaka ya mbele huku ila kwa mwanzo ili kampuni iweze toa huduma za satellite communication itabidi...
  2. the supporter

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Bro kuna IPTV siku hizi ukiwa na internet una maliza mchezo.
  3. the supporter

    JamiiForums Tanzania Biashara ya wifi internet router mtaani

    Mkuu naomba msaada wako wa kimawazo. Please ni DM namba yako
  4. the supporter

    JamiiForums Tanzania Kuna jamaa hapa mtaani anashinda ndani asubuhi mpaka usiku ila anakula na kuvaa vizuri kazi yake haijulikani

    UTT ina taka watu wenye mizigo mirefu mzee haina. Kama una hela ndefu uweke usahau huko sawa ila kama ni hizi laki laki una taka aweke ata potea
  5. the supporter

    JamiiForums Tanzania Kuna jamaa hapa mtaani anashinda ndani asubuhi mpaka usiku ila anakula na kuvaa vizuri kazi yake haijulikani

    https://www.jamiiforums.com/threads/majirani-wamemripoti-jamaa-kituo-cha-polisi-kisa-kazi-yake-haijulikani-sasa-anadai-milioni-500-kwa-kuletewa-usumbufu.2249083/ Hamna hatari yoyote boss ni kujipanga au kuangalia kama aina ya kazi ina kuruhusu.Kuna uzi hapa jamii forums wa leo jamaa kapaleka...
  6. the supporter

    JamiiForums Tanzania Kuna jamaa hapa mtaani anashinda ndani asubuhi mpaka usiku ila anakula na kuvaa vizuri kazi yake haijulikani

    Mkuu badilika kazi za kufanya online zipo kibao. Mimi ni miongoni mwa watu wanaweza kaa ndani hata siku nne mfululizo, mostly shopping na hakikisha fridge iko safi mahitaji muhimu napata, internet ipo unlimited plus backup UPS ipo na vifurushi vimelipiwa M-pesa na tigopesa vipo hewani mimi...
  7. the supporter

    JamiiForums Tanzania Wanaojua Kiingereza tu: Karibuni tuchati kwa Kiingereza

    Trials make perfect lets all make our trials here for perfections.
  8. the supporter

    JamiiForums Tanzania Kuna uhaba wa mabasi ya mwendokasi halafu tunaona CCM mnashusha mabasi mapya ya chama, kuweni na aibu

    Bro tupambane sana, hakuna mtu anae kuwazia, kila mtu ana majukumu yake hakuna wakuja kukuboreshea maisha zaidi yako mwenyewe. ishara za haya nayo kuambia zipo kibao. Kikubwa fight na wewe ukae mahali basi ukisubiria huku chini uta kufa hujawahi kuwa na maisha ya kueleweka. Kaa tafakari kuna...
  9. the supporter

    JamiiForums Tanzania Kuna uhaba wa mabasi ya mwendokasi halafu tunaona CCM mnashusha mabasi mapya ya chama, kuweni na aibu

    Survival for the fittest pambana na wewe uendeshwe kwenye V8 mwendokasi niya wanyonge. hakuna aliepo bungeni kukuangaikia ukiona maendeleo jimboni kwako ni kwa bahati tu kila mtu ana pambania ndugu zake kujiwekea miradi yake, wewe ukikazana kuangalia wanaleta mabasi kwa kazi zao na matumizi yao...
  10. the supporter

    JamiiForums Tanzania Wito kwa Serikali: Gharama za Vivuko vya Azam Kigamboni-Magogoni iangaliwe Upya

    Hapa ndio ukiskia kula urefu wa kamba yako ndio hii sasa. Wenye nguvu na haraka wata kwenda kwenye express walalahoi wata pambana na vya wote. Maisha ndio yalivyo hatuwezi kuwa sawa, gap kati ya maskini na matajiri lazima ziwepo hapa ni clear picture infront of ur naked eyes kuwa una hitaji...
  11. the supporter

    JamiiForums Tanzania Utapeli mpya wa kampuni ya FIC

    Hustling haina shortcut. Wasilie waendeleze mapambano tu mjanja mmoja kawazidi hahahaha
  12. the supporter

    JamiiForums Tanzania LATRA CCC yakusanya maoni ya matumizi ya Kadi za Mwendokasi, una lolote? Bonyeza Link utoe ya moyoni

    Binafsi na wish sana kukutana na technical tema nina mawazo kadha kuhusiana na kuboresha huduma na kufanya iwe ya kisasa zaidi. Tu kumbuke lengo ni kutoa huduma na kurahisisha sio kukusanya pesa tu ila kumpa nafuu mtumiaji. - Card iwe moja tu kwenye huduma za usafirishaji maanake; Kivuko...
  13. the supporter

    JamiiForums Tanzania Huduma mbovu mabasi ya Kilimanjaro Bus

    Kilimanjaro ni kama biashara ime washinda. Nimewahi kuwa na malalamiko nika report kwao hata hawaku jali, ukienda ofisini kwao kama Kigamboni huduma ni mbovu mno, una kuta mtoa huduma yupo busy instagram hana hata mda kukuhudumia salam tu kujibu shida. Ni mda wa kuhamia kwingine kuna basi za BM...
  14. the supporter

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kwa upande wangu naona nimeokoa kz nimelipia package ya mwaka 185k na baki niki kimbizana na internet tu 70k. Ila na kuwa na uwakika wa mpira nje na ndani, movie na series bila hustle ya kudownload nani katika quality ya HD
Back
Top Bottom