Recent content by The Son

  1. The Son

    JamiiForums Tanzania Tujuzane, ni lini???

    Good news, zinalipwa leo na kesho.
  2. The Son

    JamiiForums Tanzania Tujuzane, ni lini???

    Sio za siku nne. Kauli iliyopatikana leo ni kuwa cheque iko kwa Mkurugenzi. Hatari iliyopo ni kuwa siku za kazi zilizobaki kwa wiki hii ni kesho na keshokutwa tu. Wajuzi wa mambo wanasema walimu wa Sekondari wilaya ya Mkinga mna hali ngumu sababu viongozi wenu hawajali, muda mwingi wako bize...
  3. The Son

    JamiiForums Tanzania Tujuzane, ni lini???

    Walimu ajira mpya Sekondari Wilaya ya Mkinga, Tanga fedha za kujikimu kwa siku nne zilizobaki zitalipwa lini? Hali ya uchumi ngumu.
  4. The Son

    JamiiForums Tanzania Mwalimu umepangiwa Wilaya gani? Kutana na wenzio Hapa

    RE: Wilaya: Mkinga, Mkoa: Tanga
  5. The Son

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chemistry

    Sio "wataji'jj" au "wataji'dabojei"??? Kwangu hii mpya!!!
  6. The Son

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chemistry

    We pia waweza kutafsiri. Ni rahisi, copy kilichoandikwa, kisha paste hapa: Google Translate Kumbuka ku'detect language as 'Swahili' Me nimefanya hivo ikatafsiri hivi: Wewe ni kweli inayotolewa kwa mtu. Kuanza tarehe na kemia kukua na nguvu na nguvu. Unaweza kuchukua mambo ya ngazi ya pili na...
  7. The Son

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chemistry

    Umechangia kwa kutoa malalamiko yako.
  8. The Son

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utajiiskiaje na utafanya nini mkanda wako wa ngono ukivuja?

    Ni swali linalopaswa kurudiwa tena na tena: Unajirekodi ili iwe nini?
  9. The Son

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chemistry

    Ulivoandika hapa hujachangia???
  10. The Son

    JamiiForums Tanzania Mwalimu umepangiwa Wilaya gani? Kutana na wenzio Hapa

    Wenzangu mliopangiwa kwenda kufundisha huko mpo?
  11. The Son

    JamiiForums Tanzania Polisi waua magaidi 2 waliovamia Msikiti Kilindi

    https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/540375-believe-it-or-believe-it-not-september-11-2011-twin-towers-were-hit-by-military-plane.html
  12. The Son

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhali;ni kuhusu kamusi ya Kiingereza-Kiingereza.

    Nitaipata wapi nii-download kamusi ya Kiingereza-Kiingereza ambayo maneno yake yamekuwa transcribed ki-fonetiki?
  13. The Son

    JamiiForums Tanzania Dictionary

    Help please!Where can I download a dictionary whose words are transcribed phonetically either offline or online with Nokia Asha 210 dual SIM?
  14. The Son

    JamiiForums Tanzania Dictionary

    Help please!Where can I download a dictionary whose words are transcribed phonetically either offline or online with Nokia Asha 210 dual SIM?
  15. The Son

    JamiiForums Tanzania Ishakwisha?

    Ishakwisha?
Back
Top Bottom