Recent content by THE RIGHT

  1. THE RIGHT

    Kutoka Bungeni: Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa wapitishwa kuwa Sheria

    Naomba mwenye nakala ya Mswada tajwa afanye kushare tupate kuona ni kipi haswa kiko ndani ya huo muswada.
  2. THE RIGHT

    Bunge la Ujerumani: Serikali ya Tanzania inatakiwa kutafuta mbadala wa mabwawa kuzalisha Nishati ya Umeme

    Ni ushauri Mzuri, ila waacha Tanzania ifanye mambo yao kama vile Tanzania isivyoingilia ya kwao. Kila mmoja anauhuru kabisa na rasilimali zake .
  3. THE RIGHT

    Ziara ya Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu, Ulaya na Marekani

    Well, thanks for sharing this updates, looking forward to see Lissu branding his Country international wise. Vinginevyo itakuwa upuuzi na kujitafutia masirahi binafisi. (Mtazamo )
  4. THE RIGHT

    Kagera: Mlipuko wa bomu Wilayani Ngara waua Wanafunzi 05, zaidi ya 45 wamejeruhiwa

    Quick recovery kwa majeruhi wote. pia pole kwa waliyofikwa na haya majanga
  5. THE RIGHT

    Mbunge Agnes Marwa(CCM) amtaka John Heche kuacha kuzungumzia maswala ya nje ya Mkoa wake

    Labda anayo point ya kuwakilisha ila namna ya kuwakilisha ndiyo imekuwa ngumu, hususani kushindwa kufahamu muktadha wa anapodeliver his ideas and thought na kushindwa kuchagua maneno ya kutumia(Kama washwa). Nashauli kwa hao waliokuwa wakimshangilia wawe msaada kwake badala ya kuendelea...
  6. THE RIGHT

    Dkt. Luis Shika ni nani? Tumfahamu zaidi

    Kumbe hadi usukumani kuna majina kama Luis!!!!
  7. THE RIGHT

    Mashine za selcom na max malipo

    Hello to everyone here, naomba msaada kwa mtu ambaye anaweza akanisaidia mwongoza wa namna ya kupata mashine za selcom na max malipo. Nitashukuru sana kwa mwitikio chanya juu ya ombi langu. Ahsante.
  8. THE RIGHT

    Kibiti, Pwani: Majambazi yaua Askari Polisi NANE(8)

    Pole kwa wafiwa, pia pole kwa Jeshi la polisi
  9. THE RIGHT

    Roma na wenzake wapatikana, wapelekwa Kituo cha Polisi Oysterbay kisha Mwananyamala Hosp na kuachiwa

    Ahsante kwa kutujuza , japo sijafahamu hapo kituoni anafanya nini.
  10. THE RIGHT

    Kuvamiwa kwa Clouds: Kamati ya Nape yamjibu Dk. Mwakyembe

    Episode ingine hiyo, je mission will be complete? ama itaishia njiani!?
  11. THE RIGHT

    RC Paul Makonda afika Bungeni kuhojiwa na Kamati ya Maadili. Taarifa itasomwa bungeni...

    Je, vita dhidi ya Unga kwa Mkoa wa Dar Imekuwa na mafanikio kwa asilimia ngapi??? je, approach iliyotumika inaufanisi wa kutokomeza biashara hiyo hapa nchini kama itakuwa adapted kwa mikoa mingine pia? 1)kama itakuwa 80% above success (Big up makonda) 2)Ikiwa ni below 20% success (You need to...
  12. THE RIGHT

    RC Paul Makonda afika Bungeni kuhojiwa na Kamati ya Maadili. Taarifa itasomwa bungeni...

    No more comment , folded my hands looking for anything happen.
Back
Top Bottom