Ok nasema hiv mtu ambae hataki ichi yetu iwe na amani tutamjua tu, nakwasababu yeye anapopakukimbilia baada ya machafuko kulipuka huyo hatufai, kama hafahamu kuwa watanzania bado wanapambana na maisha na hataki kuelewa huyo hatufai kabisa , baba zetu wasio na uwezo, mama zetu, bibi zetu, dada...