najua unavyojiskia,sio kwakuyaona kwa watu and i think we have the same sorrow,unachokiongea nakiona kwangu kwa asilimia 100,chakukushauri ni jua lengo lako katika hiyo ndoa jua kusudi la kumsaidia huyo mtoto,huwezi kupinga kama anadamu yenu,Mungu ni mwaminifu sana usijali watu wanasema...