Recent content by The Newcomer

  1. T

    Utabiri: Muhongo atajiuzulu tena

    Kujikomboa kwako itakuwa kazi kubwa sana
  2. T

    Utabiri: Muhongo atajiuzulu tena

    Hujitambui ww
  3. T

    Mabadiliko ya kweli yataletwa na mtu mchapakazi na mwenye weledi na kazi

    Gari halisukumwi ukiwa ndani hata siku moja!!!kama limechoka na kuzeeka hata ubadili dereva haliwezi kukimbia
  4. T

    Bulembo ahatarisha amani ya nchi, achukuliwe hatua!

    Sasa uchaguzi wa nn kufanyika? Kuna sababu gani za kutokomeza kodi za walalahoi? Gharika linaposhuka watu hunena kwa lugha ni hili linaonekana wazi kwa CCM kushindwa mapema!!!!!!! Mmeliwa safari hii
  5. T

    Dr. Magufuli kumlipa Lowassa Monduli

    VUTA-NKUVUTE Athubutu na wamasai hawana time na wasanii kwani kwao bongo fleva ni zaidi ya makelele
  6. T

    Mke wa Slaa: Hatuna Shida ninafikiria kujenga Shule na Hospitali

    Maskini anayeshindia mihogo na maharage bongo apata fedha za kujenga shule na hospitali😀😀😀😀kazi kweli,hainiingii akilini kuwa uishi kwa mihogo then uwe na uwezo wa kujenga shule najaribu kuwaza tena project hii it's not less than 2B unazitoa wapi?naendelea kuwaza...
  7. T

    Lowassa una tatizo

    Uliangalia ITV BAADA YA TAARIFA YA HABARI?
  8. T

    Mtu aliyesoma Tech. College anaweza kusajiliwa kama Consultant Engineer?

    Unasajiliwa as long umepitia hatua za kutambulika kama Graduate Engineer na baadae ukafanya mitihani ya bodi,
  9. T

    Kutoka Bahari Beach Hotel: Yaliyojiri katika Mapokezi ya Edward Lowassa kujiunga CHADEMA

    Pole sana kijana mdogo ukizidiwa majungu mwishowe utakuwa mchawi,tuliza masaburi
  10. T

    Lowassa: Nachukia Umasikini

    Ndivyo mlivyo acheni ushambenga kuku ninyi,mbogamboga ninyi
Back
Top Bottom