Sasa uchaguzi wa nn kufanyika? Kuna sababu gani za kutokomeza kodi za walalahoi? Gharika linaposhuka watu hunena kwa lugha ni hili linaonekana wazi kwa CCM kushindwa mapema!!!!!!! Mmeliwa safari hii
Maskini anayeshindia mihogo na maharage bongo apata fedha za kujenga shule na hospitali😀😀😀😀kazi kweli,hainiingii akilini kuwa uishi kwa mihogo then uwe na uwezo wa kujenga shule najaribu kuwaza tena project hii it's not less than 2B unazitoa wapi?naendelea kuwaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.