Fursa
1:kukosa dawa hospitalini
2:kuchangisha waalimu ili kujenga maabara
3:kukopa wakulima Mahindi yao na mengine kuyaacha yaharibike wakati umewakopesha pembejeo
4:kupandisha bei ya gas na petrol
5:kutokulipa madai ya wafanyakazi
6:kushindwa kutoa mikopo ya elimu ya juu
Ni kweli kwa uelewa...
Wasio na elimu wanaojua kusoma na kuandika tu.watachambua nini hao si ndio wanakua mawaziri wa kutuingiza katika mikataba ya kidhalimu kujali masilahi yao tu
MUNGU HADHIHAKIWI WALA HARUHUSU DHULUMA WALA WATU WAFE KWA KUKOSA TIBA WALA WATOTO WETU WAKALIE TOFALI WAKINA MAMA WATEMBEE KM NYINGI KUTAFUTA MAJI HUKU WATU WANAINGIA MIKATABA MIBOVU KWA MASLAHI YAO FEDHA ZA WAVUJA JASHO ZIKIPOTEA BILA UANGALIZI.We kama unasali bila kujali dini yako niambie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.