Wanamme inawafundisha: waache kufukuza au kuwanyanyasa wake zao. Kama ulitoka nje. .mwenzako akitoka nje usiteme cheche. Kausha!!
Kuchapiwa ni siri ya ndani-
Ebwanae.....watu8 anasafiri kwenda Ethiopia anamuacha Lara1 Tanzania. Mawasiliano yanakua sio kwasana kozi watu8 keshakamatia tayari mtoto wa kiethiopia. Watu8 keshalijua jiji pale nchini kawa maarufu tayari akawa mtu wa kugonga tu madem.
Side B; Mtoto Lara1 baada ya kuona communication ziro...
Fungua akaunti mpya. Then isearch hiyo akaunti yako ya awali. Nenda sehemu ya friends....na photos kama utazitaka.
Kwenye friends hapo....utaona friendlist yako ya akaunti hiyo ya zamani. Waadd upya kwa kutuma friend request.
Simple!!
Nilikua najaribu kufanya utafiti kuhusu swala la migodi midogo kama nilivyoshauriwa na sexiologist.
Kiukweli,nimewahi kusotea kwenye migodi mikubwa kama pale nzega na kahama mining. Maisha ya kukaa getini na kumsubiri boss then unampa cv yako.
Kuhusu machimbo madogo.....kwa mtu kama mimi...
Asante kwa ushauri mzuri sana. Nitatoa taarifa kesho ama kesho kutwa nitakua wapi kati ya sehemu ulizotaja. Though ndio kulala nje...maisha ya kisela...huna rafiki wala nini...hujui utakua unalala vipi au kula vipi.
Naamini Mungu ni fundi. Hata wewe umeandika hayo ni kwa grace ya Mungu tu...
Kwani ukisamehe...na wewe Mungu anakusamehe dhambi zako ambazo mwenzako ulimficha. Na hivyo Mungu ana renew relationship yenu na inakua blindnew...mapenzi billion
Ask urself.....how many time umemcheat bila yeye kujua?..tena umetembea na wanawake 20 au wanamme 6 bila yeye kujua.....inatokea bahati mbaya tu una mfuma na meseji mbaya....and u claim to broke the relationship. Damn!!!
Thatsnt fair kabisa.....samehe na wewe usamehewe.
Ndoa isiyokua na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.