Recent content by The Mpole

  1. T

    Rose Kamili akamatwa na Polisi kwa kugawa rushwa Kalenga!

    Magamba yametahayari hawajamkuta na pesa zaid ya karatasi za mawakala.
  2. T

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Alhamisi Tarehe 13 Machi 2014 - Uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti

    Pongezi zenu kwenu tunategemea Katiba ya Viwango na Kasi kwa uongozi wenu Japo nyoote ni MAGAMBA TUU.
  3. T

    Alfonce Mawazo kupewa Unaibu Katibu Mkuu CHADEMA

    Zitto aombe msamaha tuu, bado chama kinamuhitaji, kibri ndiyo kimemponza illa chance bado anayo ya ku apologize. Zitto miye bado nakupenda sana natamani urudi kama zitto wa zamani.
  4. T

    Tutafakari maneno haya ya Sitta baada ya kuchaguliwa

    Sitta ndiyo chance ya kujijenga ki uprezidaa hapo! Ukifanya kama maneno yako hata sisi wapinzani utatupa wakati mgumu ktk kinyang'anyiro cha 2015 kama ccmagamba watakupitisha amma ukigombea na kile chama chako cha kijamii a.k.a CCJ. Illa bado gamba ni gamba TUSUBIRI TUJIONEE.
  5. T

    Kikao Dodoma Hotel

    Nawe akili ndogo hujashtuka kama ni chaka?
  6. T

    Ipo siku zitto atakuja kutamka maneno haya......

    Dotto unawashwa?? Mfate bwana wako Zitto akakukune, Hajakukuna wiki sasa.
  7. T

    Kificho ndiye Speaker wangu.

    Hata miye nimemkubali Kificho sioni sababu ya kumtafuta makamu, wakati Mzee Kificho anatutosha.
  8. T

    Kuna Viongozi Wa CHADEMA Wako Kazini Kubomoa Kabisa Hiki Chama

    Kitila akili kubwa wakati aliweka kambi ktk uchaguzi wa marudio jimboni kwake wa udiwani na akashindwa kutuletea USHINDI.
  9. T

    Kuna Viongozi Wa CHADEMA Wako Kazini Kubomoa Kabisa Hiki Chama

    Kitila akili kubwa wakati aliweka kambi ktk uchaguzi wa marudio jimboni kwake na akashindwa kutuletea USHINDI.
  10. T

    Kura ya WAZI vs kura ya SIRI : msaada wa haraka!!

    Kwa mfano ingepita kura ya wazi, ina maana Mwenyekiti wakudumu kesho angechaguliwa kwa kura ya wazi???
  11. T

    Hivi inawezekana rais bachelor kukaa ikulu?

    Miye Shauko langu ni Dk Slaa Kwenda Ikulu awe bachela awe hajaoa havinihusu mimi, HAKIKA NITAMPIGANIA DK SLAA MPAKA JASHO LA MWISHO AINGIE IKULU NA JOSEPHINE NDIYO FIRST LADY MWENYE WIVU AJINYONGE TUU.
  12. T

    Kalenga ushindi kama arumeru chalinze nao wafate nyao. Chadema ushindi ni lazima.

    Wakuu nchi hii si ya kifalme wa kurithishana, nawasihi watanzania wenzangu mliopo Kalenga muikatae CCM kwa kishindo kikubwa kama ilivokataliwa na Arumeru ili CHALINZE nao wafate nyao.
  13. T

    Josephine unazidi kumharibia Slaa, hutakaa uwe First Lady wa nchi hii

    Dk Slaa ndiyo Raisi ajayena Josephine Mushumbusi ndiyo Firstlady, kafie mbele huuko na umbeambea wako.
Back
Top Bottom