Recent content by The MORNING

  1. T

    Kwa waliosoma lyamungo na umbwe high school tu.

    Mimi nlsoma Somsom bwn, ila baadae nkahama! Zile joint mass zilikuwa zinanifürahisha sana!!! Mechi je kat ya Somsom na Umbwe, ilikuwa fujo tuu!! Daah, namiss sn zle moments!!!!!!!
  2. T

    Wizi mtupu kampala international university

    Sawa nimekuelewa! Ila kuna fununu kwamba huwa wanaziacha hela bank kwa muda mrefu ili wazidi ku _accumulate faida jmn!
  3. T

    Wizi mtupu kampala international university

    Sawa nimekuelewa! Ila kuna fununu kwamba huwa wanaziacha hela bank kwa muda mrefu ili wazidi ku _accimulate faida jmn!
  4. T

    Wizi mtupu kampala international university

    Serikali yetu imeona kuna umuhimu wa kuwasaidia wanafunzi wa vyuo vikuu kwa kuwapa mkopo ili waweze kujikimu kwa muda wote wa masomo, cha ajabu hawa waganda wao hilo hawalioni wanachojali ni kuhakikisha wanatumia mikopo ya wanafunzi effectively ili kupata faida! Boom la mwezi 10 wao hutoa mwez...
  5. T

    Hivi ndio vyuo vya kata vya Tanzania

    K.I.U kipo kundi gani jamani??? Kwa sababu hakieleweki kabisaa!
  6. T

    Hivi ndio vyuo vya kata vya Tanzania

    K.I.U kiko kwenye kundi gani jamani???
  7. T

    Kuna baadhi ya wanafunzi wa kampala international university hawajapewa boom lao hadi sasa!

    Mwanzoni wakati ninapangwa kuja kusoma hiki chuo nilijiona mwenye thamani sana ila cha ajabu sasa hivi ninatamani kukihama chuo! Jamani .....sio wote ambao tunasoma KAMPALA kwetu ni mambo safi, wengine kwetu huo mkopo wa serikali yetu ndio kila kitu kwetu! Sasa tangu mwezi wa kumi hadi leo bado...
  8. T

    JK kuongea kwenye mazishi ya Mandela

    IQ ya mtu huwa inapimwa kwa vitu vidogo sana kama hivi! Kwa hyo comment yako hapo, imedhihirisha uwezo wako wa kufikiri na kuchanganua mambo ni mdogo! No connectivity ..........
  9. T

    Mbunge bibi miaka 60, aolewa na kijana wa miaka 26

    Rwakatare na hyu mama lao moja!
Back
Top Bottom