Recent content by The Monk

  1. The Monk

    JamiiForums Tanzania Tumpe maua yake Mpina ndiye mwanasiasa anaongoza kwa uvaaji

    Shauri yako, nilijua tu hauwezi kuvumilia, yaani ukae kimya kabisaaa? Aaa wapi!
  2. The Monk

    JamiiForums Tanzania Tumpe maua yake Mpina ndiye mwanasiasa anaongoza kwa uvaaji

    Kwani ulikuwepo?
  3. The Monk

    JamiiForums Tanzania Zinaa huleta balaa kwa wahusika?

    Kama kwa binadamu tu ni ngumu kuipima furaha, kwa wanyama itakua rahisi kweli?
  4. The Monk

    JamiiForums Tanzania Zinaa huleta balaa kwa wahusika?

    1 Wakorintho 6:16-18 BHN (Biblia Habari Njema) Maana, kama mjuavyo, anayeungana na kahaba huwa mwili mmoja naye – kama ilivyoandikwa: “Nao wawili watakuwa mwili mmoja.” Lakini aliyejiunga na Bwana huwa roho moja naye. Jiepusheni kabisa na uzinzi. Dhambi nyingine zote hutendwa nje ya mwili...
  5. The Monk

    JamiiForums Tanzania Zinaa huleta balaa kwa wahusika?

    Nimesikitika sana
  6. The Monk

    JamiiForums Tanzania Kujifungua kwa operesheni kuna punguza uke wa mwanamke

    Kwakweli no shuhuda mwaminifu kabisa kwamba wewe sio mtu sahihi sana kutoa maoni. Mleta mada ni kama amechanganya waungwana, kuna ile kuchannwa njia iongezeke au kupasuka ambapo inabidi mtu ashonwe, hii kidogo ingeleta maana kwamba maumbile yanakua madogo. Sasa yeye amekaza opresheni ya tumbo...
  7. The Monk

    JamiiForums Tanzania Kujifungua kwa operesheni kuna punguza uke wa mwanamke

    Umejifunzia mishkaki wapi vile? Naelekea huko huko wiki hii yote, ndio maana Kizimkazi draft limekataa. Tukirudi kwenye mjadala, maoni yako kuhusu suala la opresheni na nt..u
  8. The Monk

    JamiiForums Tanzania Kujifungua kwa operesheni kuna punguza uke wa mwanamke

    Tayari mwandamizi ameshafika eneo la tukio.
  9. The Monk

    JamiiForums Tanzania Kujifungua kwa operesheni kuna punguza uke wa mwanamke

    Kwani mara zote maamuzi ya CS ni ya ghafla?
  10. The Monk

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mange Kimambi: kuna mpango wa kugawa CHADEMA utakaohusisha viongozi wakubwa wa CHADEMA, unapangwa na kuratibiwa na wanaCCM. Chama kipya?

    Kwenye hii taarifa kuna kitu hakipo sawa. Bank M haipo tena, nnachokumbuka BoT waliamua kuiweka chini ya uangalizi wa Azania Bank, ndio maana hata makao makuu ya Bank M siku hizi ipo Azania Bank pale Upanga karibu na kwa Mkapa. Kwa mantiki hiyo, Bank M haipo, haiwezi kufilisiwa wala kununuliwa...
  11. The Monk

    JamiiForums Tanzania Kama una hii pesa na una muda nakushauri nenda nchi hizi kafanye biashara hizi

    Anamaanisha kama hadi hapo haujaambulia chochote, basi sio fungu lako.
  12. The Monk

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mwanaume wa kubadilisha naye mawazo

    Basi itakua umeweka vigezo na mashaerti vya juu sana. Watu wa kubadilishana mawazo mbona kama wengi sana hapa? Ukiona zoezi linakua gumu waone hawa wazee wenzangu Watu8 na ERoni watakupa muongozo na hautajuta.
  13. The Monk

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mwanaume wa kubadilisha naye mawazo

    Si na wewe uingie sokoni kusaka? ukipata unamgawia mwenzio mmoja.
  14. The Monk

    JamiiForums Tanzania Mnaolipa mamilioni kusomesha watoto EMS mmesikia kilichomkuta huyu jamaa kwa binti yake?

    English Medium Schools zinsingiaje kwenye hii habari?
Back
Top Bottom