1 Wakorintho 6:16-18 BHN (Biblia Habari Njema)
Maana, kama mjuavyo, anayeungana na kahaba huwa mwili mmoja naye – kama ilivyoandikwa: “Nao wawili watakuwa mwili mmoja.” Lakini aliyejiunga na Bwana huwa roho moja naye. Jiepusheni kabisa na uzinzi. Dhambi nyingine zote hutendwa nje ya mwili...
Kwakweli no shuhuda mwaminifu kabisa kwamba wewe sio mtu sahihi sana kutoa maoni.
Mleta mada ni kama amechanganya waungwana, kuna ile kuchannwa njia iongezeke au kupasuka ambapo inabidi mtu ashonwe, hii kidogo ingeleta maana kwamba maumbile yanakua madogo.
Sasa yeye amekaza opresheni ya tumbo...
Umejifunzia mishkaki wapi vile?
Naelekea huko huko wiki hii yote, ndio maana Kizimkazi draft limekataa.
Tukirudi kwenye mjadala, maoni yako kuhusu suala la opresheni na nt..u
Kwenye hii taarifa kuna kitu hakipo sawa. Bank M haipo tena, nnachokumbuka BoT waliamua kuiweka chini ya uangalizi wa Azania Bank, ndio maana hata makao makuu ya Bank M siku hizi ipo Azania Bank pale Upanga karibu na kwa Mkapa.
Kwa mantiki hiyo, Bank M haipo, haiwezi kufilisiwa wala kununuliwa...
Basi itakua umeweka vigezo na mashaerti vya juu sana. Watu wa kubadilishana mawazo mbona kama wengi sana hapa?
Ukiona zoezi linakua gumu waone hawa wazee wenzangu Watu8 na ERoni watakupa muongozo na hautajuta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.