Bendera ya taifa Ina njano na kijani lakini Haina picha ya Rais yeyote.
Hapa watu anaongelea vazi la mfanyakazi wa INEC kuwa na picha ya Rais ambae pia ni mgombea.
Kwa mfumo ulivyo, mfanyakazi ataacha kuwa chawa Kwa mwajiri wake kweli ili alinde na kutembea kibarua Chake?
Haja ya kufanyika...
Nakuelewa Kwa sababu nilikua na malengo kama yako tokea nikiwa shule ya msingi. Nilifanikiwa Kwa asilimia 98.
Nilianguka na mtu aliyetarajia kuwa mke wangu ila Kwa kua mipango si matumizi , mambo hayakwenda kama ilivyopangwa. Nilichofanikiwa ni kutojihusisha na kimasihara ujana wote hadi pale...
Hiyo kubadilibadili rangi na anavyo jikunyata au kutoa upepo ndio vinavyonifanya nizidi kumchukia. Nimejitahidi sana tuyajenge hata Kwa picha tu nimzoee lakini wapi.
Cha ajabu Kuna Rafiki yangu yeye anamkamata kabisa mkononi anamchezea anavyotaka.
Mie naweza kuua nyoka lakini sio kinyonga.
Uzi umeisha...nilishaambiwa kitu pekee ambacho Hana shaka Wala wasiwasi kitavunja ndoa yetu ni pale ntakapopeleka mtoto anaeonenakana kupatikana tukiwa wote. Ila kama wapo wa awali (waliopatikana kabla hatujaoana), nipeleke hata fuso nzima au SGR zote ila sio ingizo jipya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.