Recent content by The Monk

  1. The Monk

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania DIVIDE AND RULE: Mbinu ya kimedani inayotumiwa na single mothers

    Kwani hua kunae double mother? Kabla sijachangia hoja, bora waseme single parent. Sitaki chupa ya soda niletee energy....
  2. The Monk

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

    Maneno yako sio msaafu, maneno yasilete hitilafu
  3. The Monk

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kurudi kijijini kabisaaa, karibu na makaburi ya ukoo

    Hao bank oficers nao ni sehem ya tatizo. Watakua walihusika kupika nyaraka. Wewe mtu anaacha mshahara wote kwenye mikopo utaratibu wa wapi huo? Na wakiangalia CBR si wanaona mikopo yote aliyonayo? Kwanini walipitisha maombi mapya? Makato hayatakiwi kuzidi nusu ya mshahara, kwa benki nyingi.
  4. The Monk

    JamiiForums Tanzania Kila siku tunamnunulia Pombe tumekuja kugundua kumbe anajenga

    Sawa hatukatai, kuficha msiba je?
  5. The Monk

    JamiiForums Tanzania Kila siku tunamnunulia Pombe tumekuja kugundua kumbe anajenga

    Huyu ni tapeli tu
  6. The Monk

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania WANAUME: Zipi ni turn-offs kwako kwa mwanamke?

    Kiongozi, Seran anachomaanisha, hawezitolewa out kizembezembe bila mpangilio na mtu asiyejuana nae. Kwa maana hiyo, hakuna huyo mtu atamtoa out akamfanyie huo ujangili wa kumtelekezea bill. Ndio maana anasema, kama mazingira hayaelewi, lazima yeye mwenyewe awe kamili.
  7. The Monk

    JamiiForums Tanzania Kila siku tunamnunulia Pombe tumekuja kugundua kumbe anajenga

    Ila anauthubutu na ujanja ujanja mwingi. Aliona akitoa taarifa,atapewa rambirambi kisha mambo yataishia hapo. Akajiongeza bora aendelee kupokea pesa za matibabu na kununuliwa pombe, ila sasa ameharibu kabisa urafiki wao uliokua imara na hasa wenzake kushiriki kumuuguza mama yake.
  8. The Monk

    JamiiForums Tanzania Kila siku tunamnunulia Pombe tumekuja kugundua kumbe anajenga

    Mh! Jamaa hakuwaambia msiba wa Mama yake. Mke wake nae hakumwambia mke wako wakati wa msiba? Au wote lao moja?
  9. The Monk

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usitoe vyote.... atacheat tu! Jifunze uchoyo

    Kumbe wenzetu mko na gauge, unaamua tu kubonyeza asilimia ili msitoe yote?
  10. The Monk

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usitoe vyote.... atacheat tu! Jifunze uchoyo

    Sawa nimetulia, lakini ninuriwa nguhanya ngufenja ufafarya tu.
  11. The Monk

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

    Wako very strategic.
  12. The Monk

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

    Vichaa kitu gani? Wapo wanaoingilia wanyama. Hapo suala ni huyo niliyemnukuu, anasema hawezi kwenda kupata huduma. Arusha kuna sehem wadada wa kimasai wanachangisha vijana wanaweza kufika wanne au watano ndio wanapewa huduma, yaani mnapanga foleni na wateja hawakosekani. Haya mambo ni maamuzi...
  13. The Monk

    JamiiForums Tanzania Dots nilizounganisha kuhusu uwepo wa gaidi Abu Ubaydah Al Banshiri kwenye ajali ya MV Bukoba

    CIA wafanye mipango ya kujua mtuhumiwa wanaemtafuta yupo kwenye meli, wafanye mitikasi ya kuzima meli, wafanye mafekechee ya kuongeza abiria na mizigo, waandae mpango wa kutoboa meli, ila kumdhibiti huyo jamaa kitaalam iwe ngumu? Wangekua na uhakika gani jamaa hatakua kwenye wale watakaojiokoa...
  14. The Monk

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usitoe vyote.... atacheat tu! Jifunze uchoyo

    Kuna kitu nimekuomba kuhusu hii ajenda tafadhali.
  15. The Monk

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

    Sawa, Wateja wao wanaume nao tunawaweka kwenye kundi gani kiongozi? Kama umeshagundua hilo inamaana kila utakaekutana nae ni malaya, fanya mambo mengine, achana na hiyo biashara.
Back
Top Bottom