Hao bank oficers nao ni sehem ya tatizo. Watakua walihusika kupika nyaraka. Wewe mtu anaacha mshahara wote kwenye mikopo utaratibu wa wapi huo?
Na wakiangalia CBR si wanaona mikopo yote aliyonayo? Kwanini walipitisha maombi mapya?
Makato hayatakiwi kuzidi nusu ya mshahara, kwa benki nyingi.
Kiongozi, Seran anachomaanisha, hawezitolewa out kizembezembe bila mpangilio na mtu asiyejuana nae. Kwa maana hiyo, hakuna huyo mtu atamtoa out akamfanyie huo ujangili wa kumtelekezea bill.
Ndio maana anasema, kama mazingira hayaelewi, lazima yeye mwenyewe awe kamili.
Ila anauthubutu na ujanja ujanja mwingi.
Aliona akitoa taarifa,atapewa rambirambi kisha mambo yataishia hapo. Akajiongeza bora aendelee kupokea pesa za matibabu na kununuliwa pombe, ila sasa ameharibu kabisa urafiki wao uliokua imara na hasa wenzake kushiriki kumuuguza mama yake.
Vichaa kitu gani? Wapo wanaoingilia wanyama. Hapo suala ni huyo niliyemnukuu, anasema hawezi kwenda kupata huduma.
Arusha kuna sehem wadada wa kimasai wanachangisha vijana wanaweza kufika wanne au watano ndio wanapewa huduma, yaani mnapanga foleni na wateja hawakosekani.
Haya mambo ni maamuzi...
CIA wafanye mipango ya kujua mtuhumiwa wanaemtafuta yupo kwenye meli, wafanye mitikasi ya kuzima meli, wafanye mafekechee ya kuongeza abiria na mizigo, waandae mpango wa kutoboa meli, ila kumdhibiti huyo jamaa kitaalam iwe ngumu?
Wangekua na uhakika gani jamaa hatakua kwenye wale watakaojiokoa...
Sawa,
Wateja wao wanaume nao tunawaweka kwenye kundi gani kiongozi?
Kama umeshagundua hilo inamaana kila utakaekutana nae ni malaya, fanya mambo mengine, achana na hiyo biashara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.