Recent content by The Monk

  1. The Monk

    Tumepoteza almasi muhimu, Ndugu Lukuvi

    Nafsi zote zitarejea zilikotoka, ametangulia. Tuombe faraja kwa familia yake na jamaa kwa ujumla.
  2. The Monk

    Jipatie Unlimited bando kutoka Vodacom, kuanzia elfu 70,000/= tu.

    Kama nna router yangu ya Voda lazima nilipie hiyo deposit security? Tofauti ya kununua router na kulipa deposit security ni ipi?
  3. The Monk

    Picha ya Marafiki wa Lowassa

    Ulikuwepo?
  4. The Monk

    Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

    Huenda ndio maana "I wish I could be ..." Wa Sasa hivi akaunti ilionekana ikisoma salio B kadhaa?
  5. The Monk

    Vazi la mtumishi wa Tume ya Uchaguzi linaongea

    Bendera ya taifa Ina njano na kijani lakini Haina picha ya Rais yeyote. Hapa watu anaongelea vazi la mfanyakazi wa INEC kuwa na picha ya Rais ambae pia ni mgombea. Kwa mfumo ulivyo, mfanyakazi ataacha kuwa chawa Kwa mwajiri wake kweli ili alinde na kutembea kibarua Chake? Haja ya kufanyika...
  6. The Monk

    Nguo zako ambazo huzivai tena aidha kwa kuchakaa au kuwa ndogo huwa unazifanyaje?

    Kwahiyo ukidaka mtumba wa Tajiri huko ughaibuni na wewe unakua Pedejee?
  7. The Monk

    Wenzangu Mabinti Sayuni: Mnawezaje Kuishi Single bila Kuanguka Dhambini?

    Nakuelewa Kwa sababu nilikua na malengo kama yako tokea nikiwa shule ya msingi. Nilifanikiwa Kwa asilimia 98. Nilianguka na mtu aliyetarajia kuwa mke wangu ila Kwa kua mipango si matumizi , mambo hayakwenda kama ilivyopangwa. Nilichofanikiwa ni kutojihusisha na kimasihara ujana wote hadi pale...
  8. The Monk

    Wenzangu Mabinti Sayuni: Mnawezaje Kuishi Single bila Kuanguka Dhambini?

    Hilo hana shida nalo, anaishi ishije hapo anaposubiria kumpata huyo wa kufanana nae ?
  9. The Monk

    Mtaje Mnyama au Mdudu unayemuogopa

    Hiyo kubadilibadili rangi na anavyo jikunyata au kutoa upepo ndio vinavyonifanya nizidi kumchukia. Nimejitahidi sana tuyajenge hata Kwa picha tu nimzoee lakini wapi. Cha ajabu Kuna Rafiki yangu yeye anamkamata kabisa mkononi anamchezea anavyotaka. Mie naweza kuua nyoka lakini sio kinyonga.
  10. The Monk

    Mtaje Mnyama au Mdudu unayemuogopa

    Hapo tupo sambamba
  11. The Monk

    Kitu gani umeshindwa kuacha moja kwa moja

    Kwahiyo Mkuu unazitafuta kabisa hizo fursa au unazitengeneza?
  12. The Monk

    Nimezaa nje ya ndoa nifanyeje nimweleze wife?

    Uzi umeisha...nilishaambiwa kitu pekee ambacho Hana shaka Wala wasiwasi kitavunja ndoa yetu ni pale ntakapopeleka mtoto anaeonenakana kupatikana tukiwa wote. Ila kama wapo wa awali (waliopatikana kabla hatujaoana), nipeleke hata fuso nzima au SGR zote ila sio ingizo jipya.
Back
Top Bottom