Mtaalam tumepotezana sana. Usalama upo?
Huyu jamaa sio tu kwamba alikua nje, alikua analeta kebehi na dharau pia, hali iliyopelekea familia ya binti kujiona wanyonge licha ya ukatili aliofanyiwa binti yao.
Hongera sana Dkt. Gwajima D awali nilikua naona kama unafanya vituko na masihara, kumbe haukua kwenye wizara sahihi. Kwa sasa, nafasi yako unaitendea haki, na upo karibu sana na wananchi, matokeo yanaonekana.
Na kikubwa zaidi, jinsi unavyolitumia hili jukwaa ipasavyo kwa kufuatilia kero na...
Madeni ya aina hiyo yanaweza kutokea hata kama benki haijafungwa/filisika. Nilikua nakukumbusha kwamba, hata benki ikifungwa, suala la madeni hua wanakabidhiwa watu washufhulike nayo, inaweza kuwa benki nyingine au taasisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.