Recent content by The Monk

  1. The Monk

    JamiiForums Tanzania Kitimoto, ndizi au ugali Vs Biriani ya ngamia

    Usifananishe hiyo kitu kabisa. Haina mfano bro
  2. The Monk

    JamiiForums Tanzania Yafuatayo ni mawazo mgando ya Wanaume wengi Mabwege na wenye Akili duni.

    Habari za Jumapili mkuu? Sawa kiongozi. Ndio umuhimu unakuja wa kuwa na watu mnaoongea mambo ya kufanana, hasa kama ni ya maendeleo.
  3. The Monk

    JamiiForums Tanzania Yafuatayo ni mawazo mgando ya Wanaume wengi Mabwege na wenye Akili duni.

    Sawa mkuu, basi inabidi wazingatie maelekezo.
  4. The Monk

    JamiiForums Tanzania Yafuatayo ni mawazo mgando ya Wanaume wengi Mabwege na wenye Akili duni.

    Vijiwe bado vipo, vinapatikana wapi?
  5. The Monk

    JamiiForums Tanzania Waziri Gwajima: Tuhuma za Bodaboda kumfanyia ukatili Mwanafunzi wa Darasa la 3, Jalada tayari lipo kwa Mwanasheria wa Serikali

    Mtaalam tumepotezana sana. Usalama upo? Huyu jamaa sio tu kwamba alikua nje, alikua analeta kebehi na dharau pia, hali iliyopelekea familia ya binti kujiona wanyonge licha ya ukatili aliofanyiwa binti yao.
  6. The Monk

    JamiiForums Tanzania Waziri Gwajima: Tuhuma za Bodaboda kumfanyia ukatili Mwanafunzi wa Darasa la 3, Jalada tayari lipo kwa Mwanasheria wa Serikali

    Hongera sana Dkt. Gwajima D awali nilikua naona kama unafanya vituko na masihara, kumbe haukua kwenye wizara sahihi. Kwa sasa, nafasi yako unaitendea haki, na upo karibu sana na wananchi, matokeo yanaonekana. Na kikubwa zaidi, jinsi unavyolitumia hili jukwaa ipasavyo kwa kufuatilia kero na...
  7. The Monk

    JamiiForums Tanzania Hivi Ndivyo Benki Hutumia Pesa Zako

    Madeni ya aina hiyo yanaweza kutokea hata kama benki haijafungwa/filisika. Nilikua nakukumbusha kwamba, hata benki ikifungwa, suala la madeni hua wanakabidhiwa watu washufhulike nayo, inaweza kuwa benki nyingine au taasisi.
  8. The Monk

    JamiiForums Tanzania Kuna tetesi za vita kati ya Rwanda na Burundi

    Sasa wakishapigana anaeshindwa inakuaje, anakua chini ya utawala wa aliyeshinda au inakuaje? Wanagombania kitu gani?
  9. The Monk

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Habari Njema Kwa Wanaume: Mahakama Kenya yaamuru Wazazi Wakipeana Talaka Gharama za Malezi ya Watoto Kuchangiwa Sawa

    Nani kasema kuna shida?
  10. The Monk

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Habari Njema Kwa Wanaume: Mahakama Kenya yaamuru Wazazi Wakipeana Talaka Gharama za Malezi ya Watoto Kuchangiwa Sawa

    Nani kasema mfumo? Mjinga ndio anazaa na tapeli, na kuiita hii habari njema
  11. The Monk

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Habari Njema Kwa Wanaume: Mahakama Kenya yaamuru Wazazi Wakipeana Talaka Gharama za Malezi ya Watoto Kuchangiwa Sawa

    Mwanamke tapeli mie namtoa wapi?
  12. The Monk

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Habari Njema Kwa Wanaume: Mahakama Kenya yaamuru Wazazi Wakipeana Talaka Gharama za Malezi ya Watoto Kuchangiwa Sawa

    Unataka kulazimisha mtizamo wako uwe sawa na upokelewe na watu wote, sema ni habari njema kwako.
  13. The Monk

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Habari Njema Kwa Wanaume: Mahakama Kenya yaamuru Wazazi Wakipeana Talaka Gharama za Malezi ya Watoto Kuchangiwa Sawa

    Waambie kwanza majaji kwanza, inakuaje kuaje kwamba hii ni habari njema? Tuanzie hapo kwanza
Back
Top Bottom