Gazeti la Tanzanite la tarehe 09 Januari 2019, na hata la 10 Januari 2019 liliripoti kuwa Mkaguzi Kuu wa Serikali (CAG) Prof. Mussa J Assad alijimilikisha nyumba ya NSSF iliyopo Tanga, ikiwa ni mgongano wa maslahi na hivyo kuwa ni matumizi mabaya ya madaraka. Gazeti hili limetaja tu kuhusu...
Rais Trump ameamua kuwasiliana moja kwa moja na wamarekani na dunia nzima kupitia mtandao wa Twitter na kwa kweli hii imewapa tabu sana vyombo vya habari ambavyo zamani vilizowea kutoa breaking news na kadhalika.
Huku kwetu kiongozi mstaafu pekee ambaye hujitahidi sana kutumia mitandao ya kileo...
Hii thread ita track mikutano ya kimataifa na akina nani wameenda kuiwakilisha nchi na ikiwezekana tutafanya estimates za gharama kwa kila mjumbe (tiketi za ndege, malazi, makazi, chakula, per-diem nk).
Pia tutaangalia kama kuna ulazima wa kenda kwenye hii mikutano na inafaida gani kwa taifa au...
Mkuuu hebu punguza munkari
Issue hapa ni kodi zetu na serikali tuliambiwa ni sikivu na kila kitu kitawekwa wazi ili wananchi wa one kodi zao zinafanya nini.
Sasa why tukiuliza haya matumizi mnahamaki? Sasa maaana ya GOVERNMENT TRANSPARENCY iko wapi?
Kama serikali inatuficha ina maana...
Asalaaam Aleykum Warrahmatullahi Wabarakattuhu.
Ndugu Wa Tanzania.
Ndege ya Rais Ndugu John Pombe Magufuli imetinga Geneva Uswisi masaa 24 yaliyopita.
Commander in Chief (NDUGU MAGUFULI) kama mnavyojua kapiga marufuku safari za nje . Na kwa kuonyesha kuwa yuko serious, yeye mwenyewe kaamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.