its a good idea but i think our society is yet to receive this kind of biz ness so it will take long to break even ,labda uanzishe biashara hii ukiwa na lengo la kuosha uniform za makampuni kama ya ulinzi etc.
wenye bacha always huwa wanatangulia kwenda labda uwe wa OP tofauti ,ila kwa ajira nyinginge tofaut na TPDF form 4 waliomaliza hv karibun wana soko kuliko hata form 6 na chuo idara kama polis magereza usalama always they opt for form 4s
Miji ya Tanzania inakua kwa kasi mwaka hadi mwaka. Kwa sababu ya ongezeko la watu biashara nayo inaongezeka. Je, zipi zitafit mazingira ya miji yetu?
Tafadhali, orodhesha mawazo ya biashara inayoendana na mazingira ya Bongo tubadilishane mawazo.
========
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.