Mkuu kumbuka kuongea kiingereza sio tatizo. Tatizo je mtaalamu anapatikana? Wewe umeangalia kuzalisha waalimu peke yake. Jiulize mkandarasi na kingereza wap na wap? Daktari vivyo ivyo. Wasilisha mada yako kuangalia kuleta mapinduz kielimu kama kuwashauri hao watoa mitaala iwe ni technical base...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.