Recent content by The Mastermind

  1. The Mastermind

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    srna pia anahusishwa na barca ktk winter
  2. The Mastermind

    Nauza PC Lak moja

    processor ikoje
  3. The Mastermind

    Will the team that defeated Guardiola's be crowned champions once again?

    Katika miaka 7 ya Pep Guardiola kama kocha katika champions league ni aidha kombe achukue guardiola au timu iliyomtoa nusu fainali 2009 - Guardiola 2010 - Intermilan baada ya kumtoa pep semi 2011 - Guardiola 2012 - Chelsea baada ya kumtoa pep semi 2014 - Madrid baada ya kumtoa Pep semi 2015 -...
  4. The Mastermind

    Vidonge vya Chloramphenicol kwa mjamzito

    Hao waliofanya majaribio kwa wanyama wanaakili zao nisiwaone wajinga mimi nikafanya majaribio kwa wangu. Sema asante sana kwa mchanganuo
  5. The Mastermind

    Vidonge vya Chloramphenicol kwa mjamzito

    Nimeona bora niachane nayo nimemtafutia dawa mbadala
  6. The Mastermind

    Vidonge vya Chloramphenicol kwa mjamzito

    Shukran sana mkuu nimeshauriwa amoxillin
  7. The Mastermind

    Copa America ya mwaka huu imekaaje

    Inatimiza miaka 100 tangu kuanzishwa ni special tournament ambayo watajumuisha na timu za north america na pia itafanyika nje ya america kusini yaani marekani
  8. The Mastermind

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Messi Mr. Assists
  9. The Mastermind

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Balozi usiwakatae raia zako
  10. The Mastermind

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Game itaonyeshwa na channel gani?
  11. The Mastermind

    Top 5 Underrated Football Players Of All Time

    Sergio Busquets
  12. The Mastermind

    Vidonge vya Chloramphenicol kwa mjamzito

    Sasa sijui huyu dokta kamaanisha nini kutupa dawa hizo
  13. The Mastermind

    Vidonge vya Chloramphenicol kwa mjamzito

    Habari zenu wadau mke wangu alikuwa anasumbuliwa na tumbo na pia mikono kufa ganzi tumeenda hospital kufanya vipimo tulivyoandikiwa na dokta akabainika kuwa ana typhod ndipo dokta akatuandikia dawa tajwa hapo juu sasa nimepatwa na hofu baada ya kusikia kwamba haifai kutumia dawa hiyo kwa mama...
Back
Top Bottom