Habari zenu ndugu zanguni,
Ninaomba msaada wa uzoefu wenu 🙏.
Kwa wale waliowahi kuchukua mkopo wa mshahara kupitia CRDB Bank, benki hutumia mfumo gani wa riba kwenye marejesho yao?
Je, ni ule wa flat rate (unakata kiasi sawa kila mwezi bila kujali salio),
Au ni ule wa reducing balance (ambapo...
Habari zenu ndugu zanguni,
Ninaomba msaada wa uzoefu wenu 🙏.
Kwa wale waliowahi kuchukua mkopo wa mshahara kupitia CRDB Bank, benki hutumia mfumo gani wa riba kwenye marejesho yao?
Je, ni ule wa flat rate (unakata kiasi sawa kila mwezi bila kujali salio),
Au ni ule wa reducing balance (ambapo...
Binafsi nasikia tu leo kulikuwa na upigaji wa kura za maoni mara baada ya hapa wanaenda hatua nyingine ya mchujo n.k,, tafadhari kwa anayefahamu anifahamishe hatua walizo pitia wagombea hawa wa udiwani na ubunge wa CCM kuanzia walipochukua forms hadi watakapo teuliwa hatua ya mwisho
Salaam
Wengi wetu tumekuwa tukishindwa kuelewa hatua za michujo anazopitia mwanachama wa CCM kuanzia kuchukua form hadi kula za maoni na kuchaguliwa mtu mmoja kama mgombea wa jimbo au kata fulani.
Tafadhari kama unauelewa juu ya hili share nasi hatua moja baada ya nyingine hasa utaratibu mpya...
Natumai mu wazima,
Katika mapenzi/ndoa najua wengi tu wanaishi na wapenzi ambao wanajua kua sio waaminifu na wengine wakafumaniana kabisa na wakashindwa kuachana nao kwa sababu mbalimbali.
Kupitia uzi huu tujuzane jinsi ya kuishi na mpenzi ambaye sio mwaminifu ili kupunguza maumivu katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.