Recent content by The Magnifico

  1. The Magnifico

    Mwanaume mwenye mke mmoja bila mchepuko au mtoto wa nje ya ndoa. Je unapointi gani ya maana na ukusema kwa wanaume wenye watoto nje tukakuelewa?

    Ongezea hapo: Unakuta mwanaume kaoa, mke kazaa watoto 3, wote wa kike na hataki kuzaa tena na kizazi kafunga!
  2. The Magnifico

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Waisrael bana.. Kwa nn mfunge airspace wakati mna Iron Dome?😀
  3. The Magnifico

    Nimekaa miezi 6 bila kufanya mapenzi nilikuwa na furaha na amani, wiki iliyopita nimefanya nilijisikia vibaya siku 4.

    Wanawake hamjajaaliwa hilo. Kumbuka nyie mnapokea, hamtoi. Ndiyo maana wanawake mnaweza mkakaa miaka bila kusex na usipate tashwishwi yoyote ile. Ila kwa mwanaume ni tofauti, ili uweze kuabstain sex na nyeto inabidi uji-tune akili na mwili vielewane ndipo utaweza, napo kwa mbinde sana! Si...
  4. The Magnifico

    Nimekaa miezi 6 bila kufanya mapenzi nilikuwa na furaha na amani, wiki iliyopita nimefanya nilijisikia vibaya siku 4.

    Iko hivii, mwanaume ukiwa sio mtu wa kutiatia, na usipokuwa mpiga nyeto, unakuwa na nguvu za ajabu sana spiritually. Katoliki hawakuwa wapumbavu kuintroduce mapadre na maaskofu kutokuoa. Kuna siri kubwa nyuma yake. Hata kule Eden, shetani hakuweza kuuangusha utawala wa Adam mpaka alipokuja...
Back
Top Bottom