Kazi nzuri sana mkuu. Ila usikubali baadhi ya watu wakafifisha talent uliyonayo, kuna baadhi ya members humu wana tabia chafu sana na ukifatilia kwa makini hata huko majumbani mwao hutukana wazazi wao, so jitenge nao na ufocus kwenye malengo yako.
Hongera kwa utunzi bora na kurekebisha makosa ya kiuandishi yaliyojitokeza kwenye(Asali haitiwi kidole).
Bila kusahau juhudi zote za kuweka hii simulizi kwa wakati pasipo kuwaachia wasomaji arosto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.