Recent content by The lariat

  1. T

    GE2025 BAKWATA yakana kutumika na Serikali

    This means BAKWATA ni sawa na UWT, UVCCM, CCM WAZAZI, ETC
  2. T

    Foleni ya Kongowe - Kibaha leo 12.03.26 ni mbaya sana

    Leo 12.3.26 yaani muda huu saa moja asubuhu, niko hapa Miembe 7 hakuna gari linalokwenda au kurudi. Sereikali mko wapi? Nasikia mneongeza tozo huko bandarini, mnafikiri mkiboresha bandari kwa barabara hii mtakua mmefanya kitu? Wako wapi mawaziri wenye maono na maamuzi? Wako wapi wakuu wa...
  3. T

    PhDs zimechemka; Marehemu amedhalilishwa; wamchukiae ameibuka mshindi tena!!

    Kilimramba kama damu yake itakavyo lambwa na mbwa
  4. T

    PhDs zimechemka; Marehemu amedhalilishwa; wamchukiae ameibuka mshindi tena!!

    Kila mtu alimuona uso ulivyomshuka. Hakutaka hata kuongea maana pale sio mahali pa vijembe vya Vinginguti, pale ni sehemu takatifu
  5. T

    PICHA: Hivi ndivyo Rais Samia alivyotua na uso wa tabasamu Zanzibar akitokea Addis Ababa Ethiopia. Ni kama shujaa aliyetoka vitani na ushindi mkononi

    Lucas Mwashambwa wewe endekeza ujinga tu huku Makonda ana tumia gari ya thamani ya bilioni wakati wewe unabaiskeli ya kupewa na ccm
  6. T

    Hatimaye huku tuliko mwezi umeandama

    Uko nchi gani ustaadh? Huku nyumbani mpaka mufti Al haj Dakta sheikh mkuu auone ndio atangaze. Hata mimi nikiuona bila Dakta kusema umeonekana siwezi kumshauri mchepuko aanze kufunga.
  7. T

    Waziri wa Mambo ya Nje, Thabit Kombo akutana na Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Oktoba 29, 2025

    Huyu kombo mtoto wa shehe Thabit Kombo ukimuangalia haraka utadhani sura ni kama wale watoto mahitaji yaani [ special needs.] Zamani tuliita mataahira
  8. T

    Mkurugenzi wa DP World atoroka Dubai!

    Bado mambo ya huyu mtoto kuwekwa bayana. Watu wanasema huko nyuma alishaliwa na wajanja ila evidence ndio inatafutwa.
  9. T

    GE2025 Fact: Samia ndiye Rais wa JMT!, Uwe ulimchagua, hukumchagua, hukupiga Kura, uko Tanzania au Ughaibuni, unamtambua, humtambui, SSH ndiye Rais wako!

    Brother P. From the deepest depth of your heart, do you think the 29/10 elections were fair? Do you think, from the deepest depths of your sincere heart, the killings of the innocent young women and children on 29/10 was the right way to quell the peaceful demonstrations that were demanding fair...
  10. T

    Utaratibu wa PSO Mahabusu na Wafungwa watakula Chakula Gerezani

    Stupid guy. Umekazia kama vile weww na ukoo wako hakuna siku mtaingia gerezani. Yuko wapi mwenezi mstaafu wa chechemaa? Yuko wapi Mwamba Mwambi? Karma is a bitch.
  11. T

    Nyaraka za Siri za Epstein: Kisiwa cha Mnemba kama 'Uchochoro' nchini Tanzania

    Nashangaa tu imekuwaje handsome boy mshika remote jina lake halipo kwenye hizo faili. Au tuseme Epstein hakuona umuhimu wa mrithi wa Benjamin Netanyahu?
  12. T

    PostGE2025 Mnyika, Japo Uchaguzi Sio Huru, Wa Haki na Halali, lakini Usimwite Rais Haramu!. Baada ya Kuapishwa ni Rais Halali Kisheria japo Sio Ki Haki!

    Sio bure. Rushwa at work. kuna pesa alipewa kutoka kwenye mgao wa yule jaji feki aliyetangaza matokeo feki. Ni sawa na muislamu akila kitimoto huku kimara huku akijipa moyo kwamba hakuna chakula kingine. Au tumfananishe na mwislamu anayefuga nguruwe, sungura na mbwa simply because ya pesa...
Back
Top Bottom