Umeandika kishabiki sana
Eti Messi hajaacha mtihani mkubwa 😆😆,are you serious or you kidin' us??
Anyway,kuna kale kamtihani ka kufunga bao 91 ndani ya miezi 12,vipi tuanze na huo au huo ni mtihani mrahisi??
Maana GOAT wa kuchora yeye aliwahi kufunga bao 69 ndani ya miezi 12 mwaka 2013 akiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.