Jamani wadau naombeni mnisasidie nijue namna ya kudownload miziki kutoka kwenye web mimi ni mpenzi wa miziki lakini sijjui nifanyeje , msaada wadau na wapenzi wa muziiki
Wapendwa mie sio mwenyeji sana na kubadili settings za SATA kwa kutumia Bios setup
kwanza hata hiyo SATA yenyewe siijui naomba endeleeni kutuelimisha pia yawezekana sio mimi peke yangu
Jamani naomba msaada wenu wadau wa teknolojia hii, Nilikuwa naformat laptop yangu nilipoweka cd ya windows xp imekwenda ikafika mahala ikanitolea msg yenye maneno haya STOP: c0000221 Unknown Hard Error
\System Root\System32\ntdll.dll...
Jamani naomba msaada kama kuna namna nyingine ya kui play you tube mara ninapoifungua huwa inaplay kidogo kisha inaonekana ikiendelea kuserch kuja ikaplay bila kusitasita ni hadi ifike mwisho sasa labda kuna njia nyingine hebu nisaidieni ili nikiiplay iende moja kwa moja bila kusitasita
Mara nyingi dell huwa zina cd driver, Baada ya kufomat unatakiwa uweke hiyo cd ili appearance yake iwe kama zamani kisha unaweka cd ya sound max kwa ajili ya sauti usiwe na hofu computer yako bado iko sawa tu ni cd zinazohitajika
Jamani natamani ku-m pm mtu fulani lakini sijui huwa mnatumia e-mail address au huwa mnatumia nini? na unafanyaje ili uweze ku pm mtu sijui chochote msaada jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.