Recent content by The Infamous

  1. T

    JamiiForums Tanzania Katerero/Kunyaaza: Rwandese, Haya women like to ejaculate during sex!

    hivi inakuchukua mda gani kumwagisha hayo maji?
  2. T

    JamiiForums Tanzania Dakika10 za Maangamiziiiiii..

    nilikuwa nawakubali wengi ila DIZASTA VINA' alitisha zaidi ya wote
  3. T

    JamiiForums Tanzania Edward Lowassa: Wanaoshindwa kuvumilia kuona wenzao wakihama vyama, wajifunike mablanketi huko waliko. Adai hahitaji ruhusa kuhama!

    chama Chama cha watanzania? watu sijui kwa nini hamtaki kuamka.
  4. T

    JamiiForums Tanzania Edward Lowassa: Wanaoshindwa kuvumilia kuona wenzao wakihama vyama, wajifunike mablanketi huko waliko. Adai hahitaji ruhusa kuhama!

    chama Chama cha watanzania? watu sijui kwa nini hamtaki kuamka.
  5. T

    JamiiForums Tanzania Edward Lowassa: Wanaoshindwa kuvumilia kuona wenzao wakihama vyama, wajifunike mablanketi huko waliko. Adai hahitaji ruhusa kuhama!

    chama Chama cha watanzania? watu sijui kwa nini hamtaki kuamka.
  6. T

    JamiiForums Tanzania Nimekuwa na tatizo la Mmba mgongoni kwa muda mrefu

    Nimekuwa na tatizo la Mmba mgongoni kwa muda mrefu, zilianza kama mabaka niliyapata nikiwa nafanya mazoezi, benchi nililokuwa nalalia kwenye mazoezi lilinikwangua likaacha michubuko baadae ikageuka kuwa mmba. nimetumia vidonge kwa mwezi mzima, zikaisha, lakini zikarudi tena, nikatumia tena...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Ukiwa hivi wanawake lazima wakupende

    hii nadharia tu' kwenye maisha halisi hii ngumu sana. ishi maisha ya kawaida tu unayoweza, kwanini ujipe tabu?
  8. T

    JamiiForums Tanzania Rais ni kama baba wa familia anatakiwa kuwa fair

    aliye fair pekee ni Mola muweza wa kila jambo' mwanadamu anachembechembe za ubinafsi, na upendeleo, fairness utaikuta kwa Mola tu
  9. T

    JamiiForums Tanzania Ukomo wa urais uondolewe tujifunze kwa katiba ya CHADEMA

    hoja korofi
  10. T

    JamiiForums Tanzania Ukomo wa urais uondolewe tujifunze kwa katiba ya CHADEMA

    hoja korofi
  11. T

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nimesomeshwa na mume wa mtu, amenipa ujauzito, na anataka kujitambulisha kwetu

    be smart, ndoa ya kikatoliki haipinduliki mwisho wa siku wewe utaonekana mzinzi tu na huyo mzee. sasa mkomalie mzee akutafutie kapagala kako na mwanao mtarajiwa, mwambie akupe msingi wa maisha biashara au chochote cha kukuingizia kipato. muambie ukweli mzee hata weza kukuoa,ila anaweza kuendelea...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Simba dume ila nimekua mnyonge

    hebu nipe namba zake nimkanye
  13. T

    JamiiForums Tanzania CCM acheni porojo, Mwalimu Nyerere alikuwa mwenyekiti wa chama kwa miaka 36, Mbowe anawauma nini?

    zama za Nyerere na sasa ni tofauti sana,you cannot stay into power for more than 15 years under the umbrella of Nyerere.
  14. T

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli, unajua SUMATRA wanavunja sheria iliyopitishwa na Bunge kwa manufaa ya wachache?

    Acheni figisu, mnauhakika gani kama sumatra wako perfect kiasi hicho, what if kama wao ndo majipu, ! Fanyeni uchunguzi yakinifu kabla hamjahukumu watu,
Back
Top Bottom