Simba dume ila nimekua mnyonge

Simba dume ila nimekua mnyonge

Unatumia gharama kubwa kufuata mtu kisa unajuana na baba yake,

"Mental slave"


Toka dodoma mpaka mwanza, unapita manyoni, unapita singida, unapita nzega, unapita shinyanga, unapita misungwi, usagara n.k
Kote humo kuna wanawake tena wazuri kabisa na tabia njema, unanga'nga'nia mtu asiyetii amri zako hata kabla hujamuoa why?

Gawaneni maumivu,

Rudi kimya kimya dom,
Upendo zidisha zaidi ya hapo, Then mshitukize kwa kumwambia kuwa hutaki mahusiano ya kimapenzi kati yako na yeye muwe kama kaka na dada tu, then mkaushie usimpigie wala kumtumia sms.

Shwain,

"acha kushikiwa akili, tumia akili na wewe kumtesa na yeye kisaikolojia"
 
kama huna hela tafadhali tafuta hela kwanza baada ya hapo yeye ndo atakutafuta mwenyewe.
 
Kuna binti tulifahamiana nilipokutanishwa na mzee wake tukaanza mawasiliano ya hapa na pale tukawa wapenzi,kwakuwa tupo maeneo tofauti kuonana kwetu imekua nadra sana tumekua tukijuliana hali kwanjia ya simu na ujumbe mfupi.

Tatizo lililonileta hapa wanajf huyu binti tukipanga kuonana amekua akipgiga chenga,jana nimesafiri toka Dom to mwanza ili tubadilishane mawili matatu uwezi amini nimempigia simu hajapokea mpaka muda huu.

Ikumbukwe pia aliwahi fanya tukio kama hili mwaka jana akajitetea majukumu nikaona siombaya uenda nikweli.

Nipeni msaada wa kimawazo wakuu,kesho nategemea kurudi nilipotoka
bado anaakili za kitoto uyo inaelekea samahani ila itakuwa hana time na ww, usipokuwa makini utapata tabu sana.
 
Akufukuzae akwambii toka au akutukanae akuchagulii tusi mkubwa jiongeze uyo ana mambo yake anakuchuza tu akili yako
 
uanaume ni kung'ang'ana.

Simshauri mtu yeyote awe na wewe kimahusiano.

Haiwezekani swala dogo kama hili ulianzishie uzi.

Baba ake aliwakutanisha si umwambie upo mkoani unataka kwenda nyumbani ukambane huko huko?
 
Wanaume siku hizi tumekuwa dhaifu sana.Huyo binti hakupendi mkuu.Piga chini wanawake wengi kitaa sana
 
Kuna binti tulifahamiana nilipokutanishwa na mzee wake tukaanza mawasiliano ya hapa na pale tukawa wapenzi,kwakuwa tupo maeneo tofauti kuonana kwetu imekua nadra sana tumekua tukijuliana hali kwanjia ya simu na ujumbe mfupi.

Tatizo lililonileta hapa wanajf huyu binti tukipanga kuonana amekua akipgiga chenga,jana nimesafiri toka Dom to mwanza ili tubadilishane mawili matatu uwezi amini nimempigia simu hajapokea mpaka muda huu.

Ikumbukwe pia aliwahi fanya tukio kama hili mwaka jana akajitetea majukumu nikaona siombaya uenda nikweli.

Nipeni msaada wa kimawazo wakuu,kesho nategemea kurudi nilipotoka



hebu nipe namba zake nimkanye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom