OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 5,139
- 12,910
Unatumia gharama kubwa kufuata mtu kisa unajuana na baba yake,
"Mental slave"
Toka dodoma mpaka mwanza, unapita manyoni, unapita singida, unapita nzega, unapita shinyanga, unapita misungwi, usagara n.k
Kote humo kuna wanawake tena wazuri kabisa na tabia njema, unanga'nga'nia mtu asiyetii amri zako hata kabla hujamuoa why?
Gawaneni maumivu,
Rudi kimya kimya dom,
Upendo zidisha zaidi ya hapo, Then mshitukize kwa kumwambia kuwa hutaki mahusiano ya kimapenzi kati yako na yeye muwe kama kaka na dada tu, then mkaushie usimpigie wala kumtumia sms.
Shwain,
"acha kushikiwa akili, tumia akili na wewe kumtesa na yeye kisaikolojia"
"Mental slave"
Toka dodoma mpaka mwanza, unapita manyoni, unapita singida, unapita nzega, unapita shinyanga, unapita misungwi, usagara n.k
Kote humo kuna wanawake tena wazuri kabisa na tabia njema, unanga'nga'nia mtu asiyetii amri zako hata kabla hujamuoa why?
Gawaneni maumivu,
Rudi kimya kimya dom,
Upendo zidisha zaidi ya hapo, Then mshitukize kwa kumwambia kuwa hutaki mahusiano ya kimapenzi kati yako na yeye muwe kama kaka na dada tu, then mkaushie usimpigie wala kumtumia sms.
Shwain,
"acha kushikiwa akili, tumia akili na wewe kumtesa na yeye kisaikolojia"